.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |


 Nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha aliyekuwa mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Oakland, California. Mwesigwa Blandesi. Marehemu ndiye aliyekuwa ananialika kwenye shughuli nyingi nilizokuwa nafanya California. KWETU Fashions inatoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu , marafiki na jamaa katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wao. Daima tupo pamoja kwenye msiba huu mkubwa mwenyezi Mungu mwingi wa rehema awatie nguvu. Roho ya marehemu ipumzike kwa Amani,
Posted by kifesi |
GALA DINNER YA AFRICAN DAY WASHINGTON, DC YAFANA SANA, MEYA WA DC NDANI YA NYUMBA, TANZANIA NA RWANDA NDIO WAANDAAJI WA MWAKA HUU



Posted by kifesi |
if  you want to make your dreams come true, The first thing you have to do is wake up
Posted by kifesi |
BAADA YA SHOWS ZA AMERICA NA UK,DIAMOND ALIRUKA KWENDA NCHINI GHANA KWA SHUGHRI YA MZIKI ,KUBWA NI KUSHOOT VIDEO YA WIMBO AMBAO BADO HAUJAFAHAMIKA NA WIMBO UPI,HAPA NI KWENYE MOJA YA SCENE AKIWA NA MWANAMZIKI MKUBWA KABISA NIGERIA,TIWA SAVAGE,BIG UP DIAMOND











Posted by kifesi |


Posted by kifesi |
mayaangelou Mwanaharakati, mshairi na mwandishi mahiri wa vitabu duniani Maya Angelou amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86. Ikiwa ni moja katika ya sauti kubwa za kifasihi duniani, Maya alitengeneza jina lake mwaka 1969 kupitia kitabu cha I Know Why the Caged Bird Sings. maya Familia yake imesema kuwa Mwanaharakati huyo aliishi kama mwalimu, mwanaharakati,msanii na mtu mwenye utu. Alikuwa sauti ya amani duniani. Maya amefariki akiwa nyumbani kwake Kaskazini mwa Jimbo la North Carolina.
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |


Posted by kifesi |
 Raisi mwenye guvu zaidi duniani na maadui wengi kuliko maraisi wote Barack Obama  aliamua kutembea mtaani kama raia wa kawaida. Alionekana akicheka, kusalimia watu na hata kusimama na kupiga story na baadhi ya wakazi wa jiji la Washington.
Posted by kifesi |
Happy Birthday to the best husband in the world. I feel so blessed to have found true love in your arms. I feel so proud to call you my husband. be blessed with all that you have ever dream of.

Posted by kifesi |
whitneyandbobby
angela-composit

Mwigizaji maarufu wa filamu wa nchini Marekani Angela Basset anatarajia kuongoza filamu itayohusu maisha halisi ya aliyekuwa mwanamuziki nguli duniani Witney Houston. Kituo cha Televisheni cha Lifetime cha Marekani kimethibitisha kuwa filamu hiyo itaelezea maisha ya Witney hadi kuibukia kwenye umaarufu pamoja na mahusiano yake na aliyekuwa mume wake kwa kipindi hicho Bobby Brown kuanzia mara ya kwanza walipokutana hadi kufunga ndoa. Mwanamuziki Witney Houston alifariki dunia February mwaka 2012 akiwa na umri wa miaka 48. Witney alikutwa amekufa chumbani kwake katika hoteli jijini Los Angeles. Angela Basset amecheza filamu nyingi zinazohusu maisha halisi ya watu ambapo pia aliwahi kucheza filamu ya hayati Notorious BIG akiwa kama mama yake na kutumia jina la Voletta Wallace.
Posted by kifesi |

Ili ufanikiwe katika maisha,ni mhimu ukizingatia haya mambo rahisi
1-jua nini unafanya
2-kipende unachokifanya na ukitetee pasipo kukata
 tamaa hata pale watu wanapojaribu kukuvunja moyo
na mwisho kiamni unachokifanya kuwa hicho
 ndiyo kitakufanikisha katika maisha..
Posted by kifesi |

Mastaa hawa wamekuwa mke na mume rasmi
 leo baada ya kufunga ndoa leo,ndo yao ilikua
 private,na ilifanyika juu ya mlima wa Forti di belevedre
lakini marafiki wakubwa wa Couple hii,Beyonce na Jayze hawakuhudhulia
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Ili ufanikiwe,jifunze kuishi maisha yako,
usiangalie ni nini flani anasema ama 
nini watasema.jiamini kuwa wewe ni bora usisubiri mt
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
DSC02051
Hizi ni taarifa zingine za ghafla ambazo Tanzania
 tumezipokea kwa mshtuko na masikitiko ni kifo
 cha miongoni mwa-madirector wa Tanzania ambao
 ni waigizaji pia,huyu ni Adam Kuambiana ambaye taarifa 
za kifo chake zimeanza kusambaa mchana wa 
Mei 17.Mwenyekiti wa Bongo Movie
Posted by kifesi |


Posted by kifesi |

Photo: My number one ❤

Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Ciara hivi sasa ana ujauzito 
unaokaribia miezi 
tisa na anatarajia
Posted by kifesi |
Kwetu fashion inampa hongera Diamond kwa 
kuzidi kuiwakilisha vyema Tanzania kimataifa
Posted by kifesi |


Posted by kifesi |
Napenda nimshukuru Mungu kwa kila hatua ninayopiga 
kwani ,naamini yeye ndiye anaenipigania na kunisogeza
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Orodha ya wasanii watakaoshiriki kwenye
 Kili Music Tour 2014 imetangazwa leo. Baadhi ya 
wasanii watakaokuwepo kwenye ziara hiyo 
wakiwe kwenye picha ya pamoja Mwaka huu 
zaidi ya wasanii 30 watashiriki katika
 ziara hiyo kwenye
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
                  
BADO HAIYAFAHAMIKA NI NINI KIMEPELEKEA
 SOLANGE AMBAYE NI MDOGO WA 
BEYONCE,KUMSHAMBULIA VILE SHEMEJI YAKE,JAY Z
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Photo: Miss T, John Cena    And Salma JayJay-------------John Cena, WWE superstar, on being an unlikely grand marshal for the Susan G. Komen Global Race for the Cure in D.C.❤
Miss T, John Cena And Salma JayJay------
-------John Cena, WWE superstar, on
 being an unlikely grand marshal for
 the Susan G. Komen Global Race for the Cure in D.C
Posted by kifesi |
The Fault in Our Stars: Trailer ya filamu ya mapenzi  iliyoangaliwa mara nyingi zaidi YouTube, iangalie hapa
Trailer ya filamu ya The Fault in Our Stars 
ambayo imebeba simulizi la mapenzi ya vijana 
wadogo waliokutana katika kituo cha kusaidia watu
 wenye saratani, ndiyo trailer ya filamu iliyoangaliwa
 mara nyingi zaidi kuanzia mwezi January.
Posted by kifesi |
Howard University yamtunuku P.Diddy shahada ya uzamivu ya heshima
Mwanahip pop tajiri zaidi duniani, Sean Combs aka
 Puff Daddy/P.Diddy amepiga hatua kubwa ya heshima
 baada ya kutunukiwa shahada ya heshima ya uzamivu 
‘doctorate’ na chuo kikuu cha Howard,
Posted by kifesi |
Diamond Platnumz atazidi kuwa si msanii tu
 wa kawaida bali ni moja kati ya wasanii
 wengi wa kimataifa