.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
hii imetokea Arizona nchini Marekani ambapo mtoto wa miaka 9 ndio kichwa cha habari kwenye mafunzo ya kutumia submachine gun iliyotengenezwa Israel.

Mtoto huyu wa kike anaetokea New York alikua kwenye mapumziko na matembezi kama mtalii kwenye mji wa Arizona ambako pia ndio alichukua time yake ya ziada kujifunza kutumia bunduki lakini kwa bahati mbaya risasi ikafyetuka na kumjeruhi mwalimu wake aitwae Charles Vacca mwenye umri wa miaka 39 ambae alifariki baadae hospitalini.


HII NI CLIP DAKIKA CHACHE KABLA YA MAUAJI
Posted by kifesi |

http://img2.timeinc.net/ew/i/2013/02/04/lil-wayne_612x612.jpg
Posted by kifesi |
Screen-Shot-2014-08-27-at-7.14.10-AM
Posted by kifesi |
Kampuni ya Vodacom Tanzania imekuja na Fistula Ice Bucket Challenge ‘#BongoIce’ yenye lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya matibabu ya akina mama wajawazito wenye ugonjwa wa Fistula. Hii ni kufuatia kampeni inayoendelea mitandaoni ikijulikana kama #ALSIceBucketChallenge  ambapo Vodacom Tanzania kwa kutambua kuwa kuna wanawake wengi Zaidi ya 30,000 wanaogua ugonjwa huu hapa nchini imeanzisha kampeni inayoitwa #BongoIce.
 Mkurugenzi wa Vodacom, Rene Meza amekuwa wa kwanza kushiriki kampeni hii na kuwateua Naibu Waziri wa Mawasiliano Mhe January Makamba, Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Tigo Diego Gutierrez na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Airtel ndugu Sunil Colaso kushiriki kampeni hii. Fuatilia kupitia
Posted by kifesi |
RI1
Ilikuwa ni Kwenye summer classic Charity basketball match ya mwaka 2014 ambayo inaleta pamoja mastaa wa sanaa tofauti kucheza mechi na kuchangisha pesa, Rihanna alikuwa miongoni mwa mastaa wa muziki waliohdhuria game ya basket iliyochezwa na Chris Brown.
Vyanzo vya habari vingine vinasema Rihanna hakujua kama Chris Brown anacheza mechi hio na baada ya kumuona Rihanna aliweka sura tofauti kama vile hajamuona na hana time naye kitu ambacho kiligundulika na watu waliokaa karibu na BadGal Riri.
RI1
RI2 RI3 RI4 RI5 Ri6  Ri8 Ri9
Posted by kifesi |


http://nairobiwire.com/wp-content/uploads/2014/07/Ommy-Dimpoz-Victoria-Kimani-and-Diamond-Platnumz.jpg
Ni video ya Mkenya  Victoria Kimani ambayo ameshirikishwa wasanii wawili kutoka Tanzania Ommy Dimpoz na Diamond Platnumz, wimbo unaitwa Prokoto na audio yake ilitangulia kutoka.  enjoy
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
00Hivi sasa Justin Bieber anaweza kujiachia kwenye club bila kupigwa picha na mapaparazi kwa sababu nyumba yake mpya ina night club na bar tatu ndani yake.
Japokuwa pesa alizolipa Bieber kumiliki nyumba hii haijawekwa wazi, sifa zake ni kuwa na ukubwa wa square meter 16,000,vyumba vya kulala 10,gym kubwa,bwawa la kuogelea,movie theater yenye screen ya inch 160 na vitu vingine.
Justin Bieber ameshahama kwenye nyumba aliyokuwa amepanga na kuhamia kwenye nyumba hii mpya aliyonunua. Hizi ni picha 10 zikionyesha nyumba hiyo
0
1
2
3
4
5
6
7
8
9
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
 http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/08/FRONTAMANI.jpg
Baada ya gazeti la udaku(AMANI)kuandika tuhuma kuwa Diamond anafanya biashara ya madawa ya kulevya
leo kupitia Bongo 5 meneja wa Diamond,Babu tale amekanusha
Tunalipwa milioni 20 show moja, tunalipwa dola elfu 25,000 show moja, hii ni zaidi ya madawa ya kulevya,” amesema Tale. “We get more money from music, sio kwenye madawa ya kulevya, hatufanyi hizo biashara na kama wanahisi sisi tunafanya tunawaruhusu watufanyie investigation hata kwa muda wa miaka kumi ina maana tunavyopita pale airport hawana vifaa vya kutuchunguza? Ipo wazi hata Global walishindwa kufanya kazi na sisi kwa sababu sisi ni wakubwa. Sasa leo hii tunauza madawa ya kulevya kwa sababu tunakomaa kwenye bei zetu. September tunafanya show kubwa ya Unplugged na msanii wa kwanza hapa kufanya ile show ni Diamond na ile show hawalipi hela ya kis**e, wataendelea kuona watu wanauza madawa ya kulevya, hakuna msanii wa Tanzania anayefanya show kwa walau dola elfu 10,000 ni Diamond peke yake wengine ni dola elfu 2000, 2500 elfu 3,000 mwisho. Tuna show Marekani show kumi na tano (15) show kumi na tano dola elfu ngapi? Na kwa hapa Tanzania hatufanyi show chini ya dola elfu 15,000,” ameongeza Tale.
Posted by kifesi |

THE FIRST RED CARPET MAGAZINE RELEASE PARTY!!!!!!!!
In honor of the limited edition Betty Fashion No. 1, we are hosting an exclusive Magazine release party to celebrate the months of hard work that went into producing our first printed magazine on September 6, 2014 at 9 pm @ Cristal Restaurant and lounge. There will be a fashion show by top designers LIC Fasion (America), Sifa Love( Congo), KEWTU Fashion (Tanzania) with Ethiopian and American top models, Chanel makeup artist- Yordanose Fesshaye, music , cocktails drinks, and Hookah.

Guests: Miss African USA 2014, African-American famous actors, Everyone is Invited to the Betty Fashion Magazine release Party –Come and join us Don’t miss this amazing event.

Dress code -red carpet look!!
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
10575981_1468191006764794_277656629_n
KELVIN LILES NI MDAU WA MZIKI ANAEHESHIMIKA SANA DUNIANI,AKIWA AMESIMAMIA WANMZIKI WENGI WAKUBWA MAREKANI,AKIWEMO TREY SONGS,DUPRI,MARIA CAREY NA WENGINEO,KMA UTAKUMBUKA  DIAMOND AKIWA MAREKANI ALIWAHI KUTANA NAE NA KUFANYA MAZUNGUMZO SASA ..DIAMOND ALIPOST PICHA AKIWA AMEZUNGUKWA NA UMATI MKUBWA WA WATU,NA MENEJA HUYO AKACOMENT AKIANDIKA NICE SHOT,HIT ME WHEN U GET CHANCE
Screenshot_2014-08-18-12-39-11
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
minaj2
WANATAFUTA KIKI AMA KUNA LOLOTE LINAENDELEA NYUMA YA PAZIA?LETS WAIT


n4n3
n2
Posted by kifesi |
Amba Rose3
Tangu wawili hawa wafunge ndoa,kuna picha hawakuwahi kuzitoa za kwewnye ndo a yao,jana wakiazimsha mwaka mmoja wa ndoa,wameutumia kupost picha hizi za kumbukumbu ya pekee kwenye instagram


Amber Rose-2
Amber-Rose-Wedding1
Posted by kifesi |
IMG_4020IMG_4032IMG_4033IMG_4039IMG_4042IMG_4048IMG_4051IMG_4077IMG_4087