.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
imebaki miezi miwili kufanyika kwa show ya Jose Chameleone wa Uganda ambae amepanga kuifanya show yake mwenyewe nchini kwao December hii huku kiingilio kikiwa ni zaidi ya laki sita za Tanzania ambazo ni shilingi milioni moja za Uganda.
nachekelea watu ambao wanasema Milioni? nani atampa hiyo milioni? watu wengi wanauliza mbona milioni moja? msanii mmoja? kuna watu ambao hawajapata bahati ya kumuona Chameleone akiwa anafanya mazuri yake, kuna matajiri flani wanataka kuja kwenye show yangu lakini wanaogopa wakija kuna cameraman wengi wanawasumbua na vitu kama hivyo’
  1. ‘Sio eti nimetaka kujipandisha bei lakini nataka kuwajali pia wale ambao hawawezi kunitembelea kwenye show za kawaida, najua watu wanashangaa na kuuliza mbona milioni?? …….sio sababu wewe au mimi hatuna milioni ndio wote hatuna milioni, kuna watu ambao milioni ni kama elfu moja, elfu kumi au laki moja’
  2. ‘Usiulize wanaotengeneza Benz mbona wanauza bei kubwa zaidi ya Toyota, kama huna hela ya Benz nunua Toyota, sio kwa ubaya lakini nataka nijali watu wote.. hii ni kwa wale wasioweza kuja kwenye show za elfu 10 na elfu 20, na wao wapate wakati wao…. hii hela ni kwa ajili ya kuwasaidia watu wa Karamoja wanaoishi kwenye maisha duni’
Posted by kifesi |

Posted by kifesi |
Alichokifanya Chris Brown baada ya msichana asiyemjua kutaka kumkiss akiwa na Karrueche

Chris Brown ameingia tena matatizoni baada ya kumzingua shabiki wa kike anaedaiwa kumrukia na kujaribu kumkiss mbele ya mrembo wake Karrueche Tran katika Club moja ya usiku.
Kwa mujibu wa 
TMZ
, mwimbaji huyo wa ‘Loyal’ aliyekuwa na onesho katika club hiyo huko Texas, badala ya kuwaacha walinzi wake wamshughulikie msichana huyo kwa hasira alimsukuma vibaya.

Vyanzo vimeieleza Hollywoodlife kuwa mama mzazi wa Chris Brown na mpenzi wake wamekuwa na hofu kubwa kufuatia matatizo mfululizo yanayomtokea mwimbaji huyo.
Chris Brown alishauriwa hivi karibuni kutojiingiza katika matatizo baada ya kutoka jela hivi karibuni alikotumikia kifungo cha siku 108 kwa kosa la kuvunja masharti ya kipindi cha matazamio.
Posted by kifesi |
Tunanunua na kuuza used/unwanted good clothing, Handbags, Shoes and Accessories call/what's up 0784 000 001

Posted by kifesi |
Amber Rose alimfumania Wiz Khalifa saa nane usiku, Wiz asema alifanya makusudi
 kwa mujibu wa TMZ, Amber Rose alichukua uamuzi huo baada ya kumfumania Wiz Khalifa akiwa na mwanamke mwingine nyumbani kwake majira ya saa nane usiku.
Taarifa hizo zimeunganishwa na tweet ya Amber Rose inayoeleza kuwa anaendelea kulikumbuka tukio hilo.
Hata hivyo chanzo cha karibu na Wiz Khalifa kiliieleza TMZ kuwa rapper huyo aliwaambia kuwa alifanya makusudi kwa kuwa hataki tena kuendelea kuwa mume wa Amber Rose.
“I just didn't want to be married to her anymore.” Chanzo hicho kimemkariri Wiz Khalifa.
Inaelezwa kuwa hii ni moja kati ya sababu zilizomfanya Wiz Khalifa kutopinga uamuzi wa Amber Rose kudai talaka yake.
Taarifa za awali zilieleza kuwa Amber Rose na Nick Cannon walianzisha uhusiano wa mapenzi na kuwala kisogo Wiz na Mariah Carey lakini wote walikanusha taarifa hizo.
Posted by kifesi |
Kim Kardashian and North West both wear sheer black at Paris Fashion Week.
Posted by kifesi |
Beyonce Knowles alipata tatizo la aina yake alipowasapraiz mashabiki wake kwa kuungana jukwaani na mumewe Jay Z ghafla katika Global Citizen Festival iliyofanyika wikendi iliyopita.  
Akiwa katika harakati za kuimba na kucheza, ghafla top yake nyeupe iliafunguka na kifua chake kubaki wazi huku ‘maziwa’ yakitoka nje ya bra iliyokuwa na rangi ya ngozi yake.
Hata hivyo, kitendo hicho kilifanyika ndani ya sekunde chache kiasi kwamba mashabiki waliokuwa wanashangweka hawakukishtukia hadi pale video ya show hiyo ilipotoka na wana habari wakacapture picha na hivi sasa imesambaa.
Posted by kifesi |
Ana miaka miwili tu, lakini North West ameanza kuhudhuria fashion show za kimataifa tena katika mstari wa mbele. Weekend iliyoisha, mtoto huyo wa Kanye West na Kim Kardashian ameshuhudia cat walks za warembo mbalimbali akiwemo mama yake mdogo, Kendall Jenner kwenye Paris Fashion Week na pia kwenye show ya Givenchy jijini Paris, Ufaransa.
Hata hivyo katika picha nyingi, North alionekana kutofurahishwa na huenda alikuwa anataka kwenda kulala kama watoto wengine wa umri wake? Ni sawa kwa Kanye na Kim kumpeleka mtoto wao kwenye show za aina hiyo tena usiku kwa umri wake? 
1411944604329_wps_81_PARIS_FRANCE_SEPTEMBER_28
1411934292736_wps_5_PARIS_FRANCE_SEPTEMBER_28
1411934421749_Image_galleryImage_PARIS_FRANCE_SEPTEMBER_28
1411934423177_wps_13_PARIS_FRANCE_SEPTEMBER_28
(crdt-bongo5)

Posted by kifesi |


10691688_1480734532185647_1481790459_n
Posted by kifesi |

Posted by kifesi |
Amber Rose aliwashtua mashabiki wake na Wiz Khalifa baada ya kuripotiwa kutengana na mumewe huyo huku akifanya taratibu za kupata talaka yake kisheria. Baada ya taarifa hizo kusambaa kwenye vyombo vya habari siku mbili zilizopita, iliripotiwa kuwa chanzo cha yote ni Amber Rose kuchepuka na mme wa Mariah Carey, Nick Cannon ambaye pia ndoa yake iko katika sintofahamu. Hata hivyo, Amber Rose amethibitisha kuwa Wiz Khalifa alikuwa akimsaliti na wanawake wengine huku akikanusha vikali tuhuma za kuchepuka na mwanaume yeyote kwa kipindi chote cha ndoa yao. Ameendelea kusisitiza kuwa hivi sasa anakijikita katika malezi ya mtoto wao wa kiume, Sebastian. Amber ameandika tweet kadhaa kupitia twitter kuhusu sakata hilo.


Posted by kifesi |
Vanessa Mdee, Diamond Platinumz na Peter Msechu wametajwa kuwania tuzo za AFRIMA za nchini Nigeria.
Come Over imemuwezesha Vanessa kutajwa kuwania tuzo katika vipengele viwili vya Best African RnB Soul na Best Female Artist in Eastern Africa.
Peter Msechu kupitia wimbo wake Nyota na Diamond kupitia Number One wametajwa kuwania tuzo ya Best Male Artiste In Eastern Africa.
Diamond naye amepata  nafasi mbili katika kinyang’anyiro kupitia wimbo wake wa Number One unawania pia tuzo ya Best African Collaboration.
Posted by kifesi |
 Usiku wa tarehe 19th september 2014 ndani ya JW MARRIOT,WASHINGTON DC,itabaki kuwa moja ya usiku wa kipekee na wa kukumbukwa kwa watanzania waishio Marekani,ilikuwa nisiku mhimu ya kumuaga baba yetu,na rais wetu mpendwa Mheshimiwa,Jakaya MlishO Kikwete,usiku huo uliopewa jina la,USIKU WA JAKAYA,Usiku wa kumuaga na kushukuru Kwa mema yake na uongozi mzuri wa  nchi yetu PENDWA Tanzania, kabla hajamaliza mda wake hapo mwakani..Kwetu fashion tunamwombea maisha mema na afya njema yeye na familia yake,aoate kumaliza kipindi chache salama .
Hizi ni official picha za tukio lilivyokuwa