.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |




Posted by kifesi |
Displaying
Posted by kifesi |
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirUq2vCj9gixxQ9TAPNU3xwAoKmrI20QFgFi2DZFa0Vqfh2-Yt8rAPPbfAcJ4OzQtMlYttbrs25u2tL9VX1zNvSylu7lTr9e7Rs8rugrMvYeVrE5rHDAmNubkjI0oMGHtxvnG-rXfpXK4/s1600/25.jpg
Posted by kifesi |
Hii ni michoro iliyofanywa na Christian Renny mchoraji ambaye bado yupo chuo, hizi ni picha za watu maarufu aliowachora

Posted by kifesi |
Guy Scott
Guy Scott ambaye alikuwa makamu wa rais Zambia wakati wa utawala wa Michael Sata ametajwa kushika nafasi ya urais wa nchi hiyo kwa sasa mpaka pale ambapo ataapishwa mara baada ya kufanyika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Waziri wa ulinzi Zambia Edgar Lungu amesema maandalizi ya uchaguzi huo yataanza muda wowote ambapo katiba ya nchi hiyo inaagiza kufanyika uchaguzi wa Rais ndani ya siku 90 baada ya kufariki kwa aliyekuwa rais wa nchi hiyo.
Scott ameteuliwa kushika wadhifa huo ambapo hii itakuwa mara ya kwanza kwa rais mzungu kuongoza nchi ya Afrika tangu kuisha kwa kipindi cha ubaguzi wa rangi Afrika Kusini chini ya utawala wa FW de Klerk.
Posted by kifesi |
Mzee ManentoWiki moja  baada ya kutokea kwa msiba wa mmoja wa wasanii wa TMK Wanaume Family YP na saa chache baadaye ukatokea msiba mwingine wa aliyekuwa msanii wa maigizo na vichekesho Sherry Mwana, leo Oktoba 30 umetokea msiba mwingine Bongo Movie.
Taarifa za awali zimeanza kusambaa kupitia watu mbalimbali maarufu Tanzania ambao wameaanza kuonyesha masikito yao akiwemo msanii Bob Junior kuhusu kifo cha mzee Manento ambaye inadaiwa amefariki jana usiku.
CRDT:millardayo.com
Posted by kifesi |
928361_893003954062813_363585301_n
Kama hukuwa unafaham,mwanamziki Mkongwe kwenye Bongo fleva,dully sykess ni baba wa watoto watatu Turiano,Misky, na Moureen...Ambao ni hao kwenye picha
Posted by kifesi |
http://cdn2.pitchfork.com/news/57218/4f72c166.jpg
Posted by kifesi |
WeekendIliyoisha  Ciara alisheherekea miaka 29 ya kuzaliwa na rafiki yake kipenzi La La huko mjini New York. Ciara na Lala walitoka na watoto wao.
ANGALIA PICHA

Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Rapper Nay wa Mitego na mpenzi wake wa siku nyingi,Siwema Siku ya leo wamebarikiwa kupata mtoto wa kiume ikiwa ni siku moja aliyozaliwa mama mzazi wa Nay wa mitego,Hongera Nay&Siwema
Nay wa Mitego akiwa na mpenzi wake Suwema10748202_881663258521951_1323233080_n
Posted by kifesi |



10711083_1062715290409555_7336867001440902865_n
Taarifa ambazo zimetoka muda mfupi uliopita zinasema kuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ asubuhi ya leo October 29 amepata dhamana baada ya kutimiza masharti yaliyotolewa.
Chid Benz alipandishwa kwenye mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jana October 28 na kusomewa mashtaka matatu yaliyokuwa yakimkabili ambapo alishindwa kutimiza masharti ya dhamana.
Leo asubuhi amepata dhamana baada ya kutimiza masharti ya kesi yake ya kukamatwa na dawa za kulevya,kesi yake inatarajiwa kusikilizwa tena October 11 mwaka huu 2014.
Source:Globalpublishers.com
Posted by kifesi |
















Posted by kifesi |

Posted by kifesi |
http://scontent-a.cdninstagram.com/hphotos-xaf1/t51.2885-15/10724584_877587508939000_1549060843_n.jpg 
DESIGN BY MISSY TEMEKE(KWETU FASHION)
Posted by kifesi |
A video posted by Missy Temeke (@missytemeke) on
Posted by kifesi |
Video Mpya: Jero- Hermer Q