.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by Unknown |
Usiku wa jana kuamkia leo palikuwa hapakamatiki katika sherehe ya mkongwe Dully Sykes palijaa kila aina ya wasanii na raha ilikua zaidi pale wasanii wakongwe waloanza na Dully Sykes kuwepo, kwa kweli ulikuwa ni usiku wa kukumbukwa na wenye kila aina ya raha na kukukumbuka mengi yaliyowahi kutokea ndani ya muziki wa bongo fleva na hizi ni miongoni mwa picha zilizojiri ukumbini hapo...









Posted by babally.bligspot.com |
Mkurugenzi wa kampuni ya endless fame, Wema Sepetu akimtambulish msanii mpya Ally Luna kwa mashabiki,Ally Luna atakuwa chini ya usimamizi wa Wema Sepetu nakampuni yake
Msanii Bob Junior nae alikuwepo katika kutumbuiza katika sherehe hiyo..
Nae msanii huyo mpya Ally Luna.  hakuwa nyuma alionyesha cheche zake..

Posted by Unknown |

STAA wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz na mpenzi wake Zari wametembelea Makumbusho ya taifa nchini Rwanda na kushuhudia mabaki ya miili ya mamia ya watu waliofariki kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Mauaji ya Kimbari
Posted by Unknown |
Leo ndo leo ndani ya Escape One mkongwe kwenye Bongo Fleva,Prince Dully Sykes anafanya tamasha kuadhimisha miaka 15 ndani ya tasnia ya Bongo Fleva,kwa kiingilio cha elfu 10,000 wasanii mbalimbali watakuwepo

.
Posted by Unknown |

Wema alisema anachukulia fresh, hana tatizo lolote na yoyote kati ya wawili hao kwa sasa ameendelea na mambo yake. “... Aisee nawapenda… such a good couple. Wivu wa nini, I wish him all the best and ammmm… I wish him happiness …”
Posted by kifesi |







Posted by kifesi |














Posted by kifesi |
6