.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZCXdgtxYPSvPxnm1E-_bF7JsCpX0q8pBk5srnx32RNt4oDOSjkQ2xGhYEf1TrxaZBDefZZk5yhWr_9B5F1ao4r5s2yTC13TniQ9vga67YZ9khW1PyrtL3Md4Op3BSWZUfE1ML8AKpDiu1/s1600/video5.jpg
Kundi la Mkubwa na Wanawe na Band yake ya Yamoto likiwa chini ya Mkurugenzi na Manager Saidy Fella, sasa waaua kutoa hit baada ya hit ili kuliteka soko zima la Muziki wa hapa Tanzania. Hii nyimbo mpa inaitwa Inno ni baada ya ngoma kadhaa kuachiwa na kundi hilo na zote kupokelewa vizuri na mashabiki wao, sasa wamekuletea hii.

Posted by kifesi |



.
.
Usiku wa Oct 17 Zuwena Mohamed aka Shilole amezindua video ya single  yake mpya ‘Namchukua’,video ambayo imeongozwa na director Kevin Bosco Junior nchini Kenya.Uzinduzi huo ulifanyika Coco Lounge maeneo ya Coco Beach,Dar es Salaam.
Wadau wa muziki na wasanii mbalimbali walijitokeza kushuhudia video hiyo mpya ‘Namchukua’, akiwemo Chegge,Mh.Temba,Madee,Quick Rocka,Dogo Asley,Janjaro,Julio,Queen Darling,Wakazi,Diamond Platnumz,Nay wa Mitego,Ezden The Rocker na wengineo.
Hizi ni picha za uzinduzi huo
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
CREDIT:MILLARDAYO
Posted by kifesi |
13
14
 T.I kutoka Marekani ni mmoja wa mastaa watakaotumbuiza kwenye  stage ya tamasha la Fiesta linalofanyika leo viwanja vya Leaders Kinondoni Dar es salaam likiwa na wakali wengine kama Diamond, Ommy Dimpoz, Nay wa Mitego, Waje, Stamina, Mwana FA, Victoria Kimani, Linah naVanessa Mdee.
16
1
2
4
3
5
6
11
10




8
picha na :millardayo