.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Tuzo kubwa za music duaniani BET zimefanyika jana ,na mwakilishi pekee wa Tanzania na Afrika mashariki,Diamond platnumz kwa bahati mbaya hakuweza kushinda,japo ni hatua kubwa sana amepiga kwa music wake na Tanzania kwa ujumla,kajitangaza kimataifa,katengeneza connections ,kakutana na wasanii wakubwa dunaiani akiwemo Nelly ni faida si kwake tu,bali ni kwa mziki wa Tanzania kwani sasa ameitambulisha Tanzania kimataifa
Diamond akiwa na Nelly
pamoja na hayo cha kushangaza kidogo ni ishu ya asilimiankubwa ya wanamziki kutoonesha sapoti japo kumtia moyo kabala ya tuzo ama hata kumpongeza kwa hatua aliyopiga,pengine si lazima kufanya hivyo lakini swala la kuzingatia ni faida aliyoizalisha




Posted by kifesi |








Posted by kifesi |
Lupita Nyong'o
Mshindi wa tuzo ya Grammy, Pharrell Williams aliendeleza ushindi wake kwa mwaka huu baada ya kuibuka mshindi wa tuzo ya Video of the Year na Best Male R&B/Pop artist. Na August Alsina alishinda tuzo ya Best New Artist na Viewers’ Choice Award.
Muigizaji kutoka Kenya Lupia Nyong’o alikuwa moja kati ya washindi wa awali na alitangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya Muigizaji bora wa kike (Best Actress)
Best Female R&B/Pop Artist
Beyoncé
Best Male R&B/Pop Artist
Pharrell Williams
Best Group
Young Money
Best Collaboration
Beyoncé f/ JAY Z – “Drunk In Love”
Best Male Hip-Hop Artist
Drake
Best Female Hip-Hop Artist
Nicki Minaj
Video of the Year
Pharrell Williams – “Happy”
Video Director of the Year
Hype Williams
Best New Artist
August Alsina
Best Gospel Artist
Tamela Mann
Best Actress
Lupita Nyong’o
Best Actor
Chiwetel Ejiofor
YoungStars Award
KeKe Palmer
Best Movie
12 Years a Slave
Subway Sportswoman of the Year
Serena Williams
Subway Sportsman of the Year
Kevin Durant
Centric Award
Jhené Aiko – “The Worst”
Best International Act: Africa
Davido (Nigeria)
Best International Act: UK
Krept & Konan
Coca-Cola Viewers’ Choice Award
August Alsina f/ Trinidad Jame$ – “I Luv This Sh*t”
Fandemonium
Beyoncé
Posted by kifesi |
Karrueche Tran ambae ni mpenzi wa mtu wa Chriss brown alikua ndie host kwenye red carpet ya BET akihoji wasanii mbali mbali akiwemo ,Diamond platnumz ambae tuzo ya category aliyokuwa akishindania,imeenda kwa Davido
Posted by kifesi |
Diamond Platinumz anaiwakilisha Tanzania kwenye tuzo za BET zitakazofanyika huko Los Angeles, Marekani.
diaaJana Diamond akiwa na wasanii wenzake wanaowania tuzo katika kipengele cha International Act (Africa) walihudhuria party ya utangulizi (BET Pre Awards VIP Party).
Fally Ipupa aliungana na wasanii wanaowania kipengele kimoja na Diamond ambao ni Davido, Mafikizolo na Tiwa Savage na Sarkodie (hayupo kwenye picha hizi).
ddavidoodiaadiamondtiwa2

Posted by kifesi |

Leo ni Leo asemaye kesho ni muongo, Aijawai kutokea katika history ya Tanzania kwa mwanamziki yoyote kwenda kugombea tuzo za BET award naombeni watu wote tuwe pamoja tuache tofauti zetu tum support mTanzania mwenzetu akipata yeye ndio tumepata Tanzania nzima. TUNAJIVUNIA UPENDO NA AMANI , atakua ametuinua katika level ya kima taifa ya mziki .Mwenyezi mungu akufungulie kila la kheri na baraka @diamondplatnumz uweze kushinda , kama kuna uzito wowote kwako Mwenyezi Mungu Au fanye uwe mwepesi uweze kupata tuzo yako InshaAllah . WaTanzania wenzangu kokote pale mlipo please tuunganeni jamani tumuombeeni mwezetu @diamondplatnumzashinde kwenye hii tunzo ya BET,kwani anastahili kuipata kwa jinsi anavyojituma usiku na Mchana bila kujali.Eeeh M/Mungu mshindishe kiumbe wako,na umpe nguvu, ushujaa na umng'arishe katika huu wimbo wake wa Number One ,ambao ndio waliouchagua kushindanishwa.Eeeeeh Mola wetu pale wanapozitaja nyimbo zote za kushindanishwa basi tunakuomba mola wetu isikike nyimbo yake tu masikioni mwa watu na waione nyimbo yake tu machoni mwa watu, umpe ushindi hii siku ya Leo na umpe furaha kubwa ya mavuno yake ili arudi nyumbani kwa faida kubwa ya kutupeperushia bendera yetu ya Tanzania na kusikika dunia nzima si kwake tu Bali kwa watanzania wote InshaAllah ...... Mimi na familia yangu tumeshamuombea Duwaah naomba na wewe mTanzania mwenzangu umuombee, Shukran .......I wish you all the best@diamondplatnumz and remember if no one else believes in you,I believe in you. Aspire to inspire.


Posted by kifesi |


Posted by kifesi |

Daily Mail imeripoti kuwa msichana huyo wa Colorado, Marekani amekutwa hana hatia na mahakama baada ya vipimo vya madaktari kuonesha kuwa ana matatizo ya akili na hata wakati anafanya tukio hilo hakuwa sawa kiakili.
 isabella
Mahakama hiyo imeamua kuwa Isabela apelekwe hospitali kuanza matibabu badala ya kwenda jela kama ilivyokuwa inatarajiwa na wengi.
Upelelezi wa polisi ulieleza kuwa msichana huyo alimuua mama yake aitwae Yun Mi Hoy kwa kumchoma visu usoni mara 35, shingoni na sehemu ngingine za mwili wake.
Isabella anaelezwa alikuwa anamtishia mama yake mara kwa mara kuwa atamuua.

Posted by kifesi |

Kwa pamoja tuzidi kumwombea msanii wetu Diamond anayetuwakilisha kwenye tuzo za BET,aweze kushinda na mziki wetu uzidi kutambulika Duniani
Posted by kifesi |
Kwetu fashion inazidi kutanuka na kujizolea umaarufu kila siku,umaaru ambao haujaja  kirahisi bali kwa kazi nzuri ,na ubunifu mzuri wa mavazi yanayomfanya mtu ajiskie ufahari wa nyumbani yani Afrika..kwa ubora huo ndio maana imekua ikipata nafasi ya kuvisha watu mbali mbali wakubwa na wadogo pia kwenye matamasha mbalimbali..hizi ni baadhi ya picha za warembo waliovishwa na kwetu fashion wakati wa shughuli ya TANO LADIES












Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
SALAMA JABIRI, HOST wakipindi cha MKASI alijikuta ana changanya mambo baada ya mumuita PENNY kwa jina la WEMA....pindi wanarekodi kipindi ambapo PENNY alikua ndio mgeni...Hehehehe Siunajua PENNY na WEMA waliwahi kushea Mapenzi ya D..Patamu hapo!!! sasa PENNY alijibu nini baada ya kuitwa WEMA? Salama je ali RIAKTI vipi baada ya kuchanganya mambo.
Posted by kifesi |

Kwa mujibu wa takwimu zisizo rasmi zinaonyesha kwamba idadi ya wanawake wasiyoikubali miili yao hapa nchini ni kati ya 25 hadi 35, kwa maana kwamba ni wanawake 25 hadi 35 katika kila wanawake 100 wasiyokubali miili yao. Ndiyo maana siku hizi tunashuhudia baadhi ya wanawake hapa nchini wanaohangaikam kutafuta dawa za kukuza makalio yao na kubadili rangi ya ngozi zao. Kuna yale ambayo mtu hawezi kuyabadili, kama vile sura, makalio, kimo na maumbile ya sehemu za siri. Hata hivyo baadhi yake, huwa yanabadilishwa kwa kufanyiwa upasuaji na matumizi ya 

dawa au kemikali fulani. Lakini siku zote mabadiliko hayo yemekuwa ni maumivu makubwa kwa wanaoyafanya, lakini pia ni gharama. Kumbuka wale ambao wamebadili matiti yao kuwa makubwa au madogo wamejikuta wakilipia gharama kubwa ya maumivu ya kihisia, kwa matiti hayo kuwa kama mawe tu kwa kukosa msisimko yanapoguswa. kila mtoto hufundishwa kama ajikubali au ajikatae wakati anapokua. Mtoto anapooneshwa kwamba, ana mwili mzuri au anapooneshwa kwamba, ana sura nzuri na ana uwezo mkubwa kiakili, hukua akimini hivyo. Anapooneshwa kinyume chake, huamini hivyo pia. kumbuka kwamba, siku hizi kuna walezi au wazazi wengi. Kuna televisheni, inteneti, vijarida na redio ambavyo vyote kwa pamoja humfundisha mtoto kuwa yeye ni nani. Kwa mtoto wa kike kama atawatazama akina Agnes Gerald maarufu kwa jina la Masogange au Wema Sepetu anaweza kuamini kwamba, mwanamke mrembo anayekubalika kwa viwango vya urembo ni yule mweupe mwenye umbo namba nane na mwenye makalio makubwa yaliyobinuka kama hao wasanii niliowataja hapo juu. Masogange Kwa hiyo mtoto wa kike ataanza kuchanganyikiwa akishagundua kwamba muonekano wake haufanani na hao wasanii niliowataja, hata kama nyumbani alifundishwa kwamba mwili ni mwili na ule mtu alio nao ndiyo wake. Lakini, kama hakupata bahati hiyo, hali ndiyo itakuwa mbaya zaidi. Kwa hiyo bado kama wazazi inabidi tufanye kazi ya ziada kuwaambia mabinti zetu kwamba, wana miili mizuri na wenyewe ni wa zuri bila kujali wana muonekano wa namna gani.
Posted by kifesi |