.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |



Rapper mkongwe  Joseph Haule aka Professor Jay usiku wa Jumamosi (13 Sept) alizindua video mbili ‘Kipi Sijasikia &  ‘3 Chafu’,uzinduzi huo ulifanyika ndani ya ukumbi wa Ten Lounge uliopo maeneo ya Victoria jijini Dar es Salaam
Mbali na uzinduzi huo Professor alipata support kutoka kwa wasanii mbalimbali  akiwemo,Linex,Chid Benz,Lady Jay Dee,Soggy Doggy,TID,Slim,D Knob,Country Boy na wengineo
Hizi ni picha za Uzinduzi huo

DSC_1321
DSC_1319
DSC_1315

DSC_1313
DSC_1305
DSC_1304
DSC_1294
DSC_1293
DSC_1274
DSC_1225
DSC_1245
DSC_1259
DSC_1220
DSC_1251
DSC_1208
DSC_1248
DSC_1197
DSC_1187
DSC_1173
DSC_1169
DSC_1156
DSC_1135
DSC_1091
DSC_0002
DSC_1086
DSC_0024
DSC_1141
CRDT-MILLAD AYO


Posted by kifesi |
MOja ya sifa njema kuhusu Miss Temeke ni vipaji vingi alivyojaliwa na Mungu kuhusu urembo na mambo yote kuhusu fashion,vipaji ambavyo alivipiga msasa kwa kuviendea shule,miss Temeke ambae ni mama wa watoto wawili wenye afya na furaha; ni vigumu kumtabilia umri wake kutokana na anavyojitunza ..na mbali na kufanya fashion na kuvalisha watu wengi mashuhuri pia ni makeups artist mzuri kabisa akiwa amefanya kwenye sherehe mbalimblai na kwa watu tofauti tofauti....haya ni machache kuhusu uwezo wa Mis T...KUFAHAM KAZ ZAKE ZAIDI ENDELEA KUTEMBELEA KWETU FASHION BLOG PIA ,FACEBOOK PAGE YAKE(missy temeke) instagram(missytemeke) pia insta page ya kwetu fashion(kwetu_fashion)

Posted by kifesi |
For there is no friend like a sister
In calm or stormy weather;
To cheer one on the tedious way,
To fetch one if one goes astray,
To lift one if one totters down,
To strengthen whilst one stands..LOVE YOU SALMA JAY JAY
Posted by kifesi |
Love is the master key that opens the gates of happiness.
Posted by kifesi |
WATOTO WAKIWAWAMEPENDEZESHWA NA KWETU FASHION
MAVAZI HAYA YAMEDIZAINIWA NA KWETU FASHION
Posted by kifesi |
Video Mpaya: Sura Yako- Sauti Sol
Posted by kifesi |
 http://1-ps.googleusercontent.com/x/www.thehollywoodgossip.com/images.thehollywoodgossip.com/iu/t_slideshow/v1398358003/562x562xnicki-minaj-cleavage-photo.jpg.pagespeed.ic.ckAvpyzagr.jpg
Nicki Minaj amekutana na kikwazo kikubwa katika mpango wake wa kuzungumza na wanafunzi wa shule aliyosoma.
Mwimbaji huyo ameeleza jinsi alivyoumia baada ya mkuu wa shule hiyo kulikataa ombi lake la kuongea na wanafunzi hao kwa nia ya kuwa-inspire wafanikiwe kama yeye.
Huenda mkuu huyo wa chuo ameona Nicki Minaj sio mtu sahihi wa kuwa-inspire wanafunzi wake kwa kuzingatia video tata ya ‘Anaconda’ aliyoitoa hivi karibuni.
Hizi ni baadhi ya tweets za Nicki akionesha masikitiko yake baada ya kunyimwa nafasi hiyo.


Posted by kifesi |
   Kanye West agoma kuendelea na show hadi walemavu wa miguu wasimame, amtuma bodyguard kuhakikisha
Kanye West alikuwa kwenye tamasha lake nchini Australia wakati huu na aliamua kuweka msimamo kwa maneno aliyoyasema kuwataka mashabiki wote kusimama na kucheza wakati anaimba la sivyo asingeendelea na show.
“'I can't do this song, I can't do this show until everybody stand up. Unless you got a handicap pass  and you get special parking and s**t.'Imma see you if you ain't standing up, believe me, I'm very good at that.”. Alisema.
Kwa bahati mbaya zoezi hilo lilikuwa gumu kwa mashabiki wawili waliokuwa wamekaa kwenye kiti maalum cha kuwasaidia kutembea na huenda walikuwa walemavu ama wagonjwa wa miguu.
Kanye alisimamisha zoezi la kuimba ingawa watu waliendelea kumpigia kelele wakimuonesha ishara kuwa watu hao walikuwa kwenye wheelchairs.
Rapper huyo hakuamini maneno tu na alimtuma mlinzi wake aitwae Pascal kuhakikisha na kumletea majibu.
Pascal aliporudi alimhakikishia kuwa kweli walikuwa kwenye wheelchairs na ndipo alipolegeza masharti na kuendelea na show.
“He is in a wheelchair? It’s fine!” Alisikika Kanye West.