.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
 http://www.bollywoodshaadis.com/img/article-20141234314311652276000.jpg
Nimeleta hii kitu hapa ili mjifunze, hii mitandao sasa inavunja sana ndoa. Hadi michepuko wapi wanatafuta online ni hatari. Hivi watu wa jinsi hii hawaogopi ukimwi? Hawana hofu ya Mungu? Kwa nini unadanganya kwa watu upo single na wakati una mke na mtoto. Sasa haya ndio matokeo yake.

Huyu ni mume, kama hayupo kazini akiwa nyumbani muda wote yupo kwenye internet. Imefikia hatua anaweza kesha kwenye computer au simu. Ukiiuliza nini haswa unatafuta online, anasema naangalia news za nyumbani Tz. Yeye na mkewe wapo abroad. Kumbe ana mambo anayafanya nyuma ya computer. Huwezi amini ni mume na wana mtoto mmoja na mkewe ila vitu anavyofanya ni vya ajabu.

Mkewe katika kuchunguza kagundua mumewe anachat na wanawake huko Tanzania, na mbaya zaidi mume trips za kwenda Tz haziishi, kumbe anafuata mabinti. Mke kafuma messages nyingi akiwasifia mabinti tofauti tofauti na mabinti waanatuma hadi picha wakiwa naked kwa huyo mume.

Mke alivyogundua, akaona isiwe shida ya kuleteana magonjwa na mkewe ndio kwanza yupo miaka 30.

Mwanamke kaamua kudai talaka huko huko abroad, ila mume anagoma. Unajua mambo ya nje hakuna longo longo kama Tz. Mwanamke kaenda kwa mwanasheria na kufile talaka. Mume sasa ana haha, maana ughaibuni hakunaga mambo ya kuhonga kama Tz.
Posted by kifesi |
 
IKIWA HAIJAEDITIWA


Posted by kifesi |
Groom Tries Drowning Himself After Seeing Ugly BrideJamaa alijipanga mwenyewe ili aachane na maisha ya ukapela, ndugu jamaa, marafiki wakakutana ukumbini kwa ajili ya kusherehekea ndoa yake.. kilichotokea kiliifanya siku hiyo kuwa katika historia ya matukio ambayo sio mazuri kwake.
Bwana harusi huyo Kang Hu wa China aliwashangaza wageni waalikwa kwenye harusi  yake baada ya kukutana na bibi harusi, Na Sung kwa mara ya kwanza siku ya harusi yao, lakini hakuvutiwa na sura yake na kuamua kutamka kwamba hajavutiwa na muonekano wa bibi harusi huyo.
Sherehe hiyo ilivurugika, jamaa akatoka kwa aibu, akatoka nje kwa hasira na kwenda kujitupa kwenye mto uliokuwa karibu na ukumbi huo katika mji wa Shiyan, watu waliokuwa wakipita karibu na mto huo walimuona na kutoa taarifa Polisi ambao walifika na kumuokoa.
Groom Tries Drowning Himself After Seeing Ugly Bride
Pal Chan Wang aliyekuwa kwenye sherehe hiyo amesema familia ya Kang ndiyo ilikuwa imemchagulia mwanamke huyo na kumlazimisha kumuoa lakini hakuwa chaguo lake wala hakuwahi kumuona kabla ya siku ya ndoa, hii sio mara ya kwanza kutokea tukio la harusi kuvunjika siku ya ndoa.
Groom Tries Drowning Himself After Seeing Ugly Bride


Groom Tries Drowning Himself After Seeing Ugly Bride
CRDT;MILLARDAYO.COM
Posted by kifesi |
Miami Beach street view, ocean Drive at 9th Street, South Beach, Miami Beach, Florida
nyc-skyline
Moja ya ishu zilizojadiliwa Bungeni katika vikao vilivyofanyika ndani ya wiki hii ni suala la kelele ndani ya Miji Mikubwa TZ kam vile Dar.. Wabunge wakasema ikiwezekana kuwepo utaratibu wa kufungia kumbi za sherehe ambazo zinaongoza kwa kupiga muziki na kusababisha kero ya kelele.
Nimepita mitandaoni nikakuta hii list mtu wangu.. Hapa ni Miji mikubwa mitano inayoongoza kwa kelele Marekani.
.
No.1: Karibu New York mtu wa nguvu !! Huu ni moja ya Miji yenye watu wengi zaidi Marekani, mishemishe ni nyingi pia ikiwemo Utalii. Huu ni namba moja kwa kelele Marekani.
Detroit_Michigan_freecomputerdesktopwallpaper_1280
No.2: Detroit, Michigan. Unaambiwa isikushtue mji huu kuwa namba mbili kwa kuwa na makelele mengi kwa Marekani, unatajwa kuwa unaongoza pia kwa matukio ya uhalifu. Ukiingia hapa mtu wangu kaa macho.
DSC_0253
No.3: San Francisco, California. Utafiti uliofanywa na University of California, Berkeley unaonesha mtu mmoja kati ya watu sita wako kwenye hatari ya kuugua magonjwa ya moyo kutokana na kelele za magari.
Miami Beach street view, ocean Drive at 9th Street, South Beach, Miami Beach, Florida
No.4: Miami, Florida. Huu ni mji ambao uko kwenye list ya miji ya starehe zaidi Marekani. Sehemu kubwa ya malalamiko kuhusu kelele inasababishwa na kutua na kuruka kwa ndege, O’Hare International Airport ilikuwa inapokea ndege zaidi ya 2,500 kila siku mwaka 2015.
Posted by kifesi |
prezzos-girfie
 Prezzos-girlfriend2
Posted by kifesi |

minaj
Miezi minne iliyopita Meek Mil na  Nicki Minaj walitumia nguvu nyingi kuficha mapenzi yao ila hivi karibuni wamekuwa wazi sana. Wapenzi hawa walionekana karibu sana kwenye ziara ya Nicki Minaj The Pinkprint Tour huko Paris ufaransa.
Nicki-Minaj-Meek-Mill-in-Paris-Pink-Print-Tour-1
Nicki-Minaj-Meek-Mill-in-Paris-Pink-Print-Tour-2
Posted by kifesi |

2015 iHeartRadio Music Awards On NBC - Show
Kwenye mahojiano aliyofanyiwa hivi karibu Rihanna amekanusha kuwa na mahusiano na star wa Titanic Leonardo Dicaprio na kusema ” ratiba yake inambana sana muda huu kuwa kwenye mahusiano yeyote au kuwa na mtu ” Riri aliendelea kusema “usiamini blogs zitaharibu mambo yako ” .
Rihanna anasema mwanaume atakaye weza kuwa naye kwa sasa lazima aelewe ratiba yake na aweze kuishi naye kwenye maisha hayo