.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
IMG-20141001-WA0006
Posted by kifesi |
Mapya yanazidi kuibuka kuhusu kuachana kwa Amber Rose na Wiz Khalifa. Repoti mpya kutokwa kwa marafiki wa Amber ni kwamba Wiz Khalifa alikuwa anatoka na wanawake wawili kwa wakati moja, wanawake hao ni mapacha.
Imefahamika kuwa mapacha hawa ni wabunifu wa mavazi kupitia kampuni yao ya Jas and Ness.
Screen-Shot-2014-09-30-at-10.36.28-AMWiz-Khalifa-Jas-and-Ness

Posted by kifesi |
Msanii Diamond ametajwa kuwania tuzo zingine za Nigeria zinazofahamika kama The Headies 2014. Diamond ametajwa kwenye kipengele cha Msanii bora wa Afrika yani [ Best African Artist] na anachuana na wakali kama Mafikizolo wa South Africa, Sarkodie wa Ghana na REBess.
Tuzo zinafanyika October 25,2014.
headies 2headies

Posted by kifesi |
The Climax: 100.5 Times Fm kumleta Davido Tanzania, November 1
Msanii wa Nigeria anaetamba na hits kibao, Davido ataingia Tanzania mwishoni mwa mwezi huu na kufanya show kubwa November 1.
Msanii  huyo analetwa na kituo cha radio cha 100.5 Times Fm kupitia tamasha lake jipya lililopewa jina la ‘The Climax’.
Tayari vidokezo vya show hiyo vimeanza kurushwa kwenye kituo hicho cha radio huku orodha ya mengi yatakayofanyika ikitarajiwa kuwekwa wazi muda wowote kuanzia leo.
Davido ambaye ni mshindi wa tuzo kadhaa kubwa ikiwemo tuzo ya BET na MTV (MAMA) anatamba na hits kadhaa ikiwemo Skelewu, Aye, tchelete na nyingine nyingi.
Kaa mkao wa kushangweka na kilele cha burudani cha mwaka ‘The Climax’ ya 100.5 Times FM.
“Paris was Great next stop!! LONDON –LAGOS-WARRI-SOUTH AFRICA-NAMIBIA-TANZANIA lego.” Ameandika Davido kwenye Instagram.