.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Posted by kifesi |


Waziri wa maliasili na utalii Mheshimiwa Lazaro Nyarandu .Ahsante sana kwa ushirikiano wako uliotuonyesha na kutusapoti kwa hali ya juu.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏God bless you 
Posted by kifesi |

Yaani haya ndo mambo niliyokuwa naongelea jana jamani wanawake tuamke tusikubali mambo hayo mtu anekupenda hawezi kukufanyia unyama kama huu no matter what. #SayNoToDomesticViolence#WomenStandUp. By @usipojipangantakupanga: "Huyu
 dada alimfumania mumewe....matokeo yake mwanamke kapigwa na mumewe!.wanaume wakatili sana kwanza kamkosea mke wake kwa kumsaliti ...pili kapema kipigo kana kwamba yeye ndio kafumaniwa....jana hiyo...dada yupo hoi hospitali ya mwananyamala.....sasa kama wewe ndio huyu dada je ukipona utarudi kwa mume au utafanyaje??
CRDT:#JestinaGeorge
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
hh 3
Mwanadada mkenya anaesifika kwa kujiweka kihasara kwenye social networks,Huddah Monroe ameanza mchakato wa kuuza mavazi yenye jina lake,na moja ya njia yake katika kutangaz brand yake ndiyo kama picha zinavyojieleza 
hh 2
Posted by kifesi |

minaj  3Nicki minaj ni mmoja ya mastaa wa kike wengi,wanaoandamwa na shutuma za kuwa na makalio feki(waliyojiongeza kwa operation ama madawa)japo shutuma hizo hazijawahi sibitishwa,sasa Kwenye show ya Fashion Rock Aliyofanya Rapper Nicki Minaj inasemekana alikaa vibaya na makalio yake kuonekana tofauti na yalivyozoeleka kama unavyoona pichani na kuzua gumzo kuwa yanaweza kuwa feki kama wengi wanavyodai.minaj 2
Posted by kifesi |