.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |

Ili ufanikiwe katika maisha,ni mhimu ukizingatia haya mambo rahisi
1-jua nini unafanya
2-kipende unachokifanya na ukitetee pasipo kukata
 tamaa hata pale watu wanapojaribu kukuvunja moyo
na mwisho kiamni unachokifanya kuwa hicho
 ndiyo kitakufanikisha katika maisha..
Posted by kifesi |

Mastaa hawa wamekuwa mke na mume rasmi
 leo baada ya kufunga ndoa leo,ndo yao ilikua
 private,na ilifanyika juu ya mlima wa Forti di belevedre
lakini marafiki wakubwa wa Couple hii,Beyonce na Jayze hawakuhudhulia