.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
 
 Alhamis ya jana (November 14) mwanaume mrefu kuliko wote duniani na mfupi kuliko wote walikutana katika tukio lililofanyika London ambapo walipiga picha ya pamoja wakipeana mikono.
 
Tukio hilo lilikuwa ni lakumi la mwaka la rekodi za Guinness kusherehekea rekodi zilizowekwa na dunia. Guiness waliwasafirisha wanaume hao ambao ni Sultan Kosen kutoka uturuki (Mrefu) na Chandra Bahadur Dangi  (mfupi) kutoka Nepal kwaajili ya picha ya kipekee.


Kosen (31) ni mkulima wa msimu mwenye urefu wa feet 8na nchi 3, ana uwezo wa kushika kikapu cha goli la bascket bila kuruka, alishika rekodi hiyo mwaka 2009 baada ya kumpita urefu Xi Shun wa China mwenye feet 7 na nchi 9
Dangi (74) yeye ana urefu wa nchi 21½ na ni mwanaume mfupi aliwahi ku-rekodiwa na Guiness na ana uzito wa Pound 32

Posted by kifesi |
Tyga ameendelea kuwasha moto juu ya ugomvi wake na Drake kwa kumshika makalio aliekuwa girlfriend wa Drake na kumsaini kwa ajili ya kufanya nae Video ya wimbo wake mpya.
Chanzo kilichokuwepo kwe dili hilo kimesema kuwa, Tyga alimuaomba Dollicia Bryan kutokea kwenye video ya "Make it Work" hasa kwasababu wimbo huo una mashairi yanayomchana Drake 

 "Ni**a never was my homey ... all these bitches know you corny ni**a."


Drake alionekana aki-flirt na mama mtoto w Tyga Blac Chyna kwenye mitandao ya kijamii kwa mda sasa haishangazi kuona Tayga kaamua kumuomba Dollicia 

In fact,
TMZ
wameambiwa kuwa Tyga amemwambia wazi Dollicia anamtumia kumchukiza Drake... na akakubali kutumia nafasi hiyo.


Posted by kifesi |

Jarida la Paper limezungumziwa zaidi wiki hii kwenye blogs na mitandao ya kijamii baada ya kuingia gharama ya kupata cover lenye picha ya utupu ya Kim Kardashian.

Picha hizi zimeibua maneno mengi kuhusu Kim na
Kanye West
wanavyoishi,Kazi ya Kim K na imekuaje Kanye amruhusu mke wake kufanya hivi.Kim alitumia twitter kutoa huu ujumbe.
Kim K "Wanasema sina kipaji, jaribu kuweka glasi isimame kwenye makalio yako"
Hii ndio picha anayozungumzia Kim