.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
 Kuanzia jumatatu ijayo kupitia account zake za mitandao ya kijamii facebook titwer na instagram @ommydimpoz atakua anaendesha shindano la kucheza wimbo huo, shindano alilolipa jina "Lima na Tupogo" ambapo kila mwisho wa wiki mshindi atazawadiwa mtonyo laki 5 cash kutoka mfukoni kwa Ommy dimpoz.
Lima na tupogo ni moja kati ya vionjo kwenye Tupogo, sasa kwasababu mafans wetu wanatuweka hapa na wanatufanya tuwe hapa na wanatupa nguvu ya kufanya kazi zaidi kwahiyo nimeona hii wakati nimetoa hii video ya tupogo, na kama kuwataka radhi hizi kwasababu uanajua tupogo ni video ambayo ingetakiwa kutoka mda mrefu ndio maana nikaamua nifanye remix na niitolee video, ambayo itakuwa ni kama bonus track katika album yangu ambayo itatoka siku ya Valentines.....

Lima na Tupogo ni style ambayo nimewapa nafasi mashabiki wa PKP kutumia nafasi hii kulima lima lima lima, wanakuwa wanalima halafu mshindi kwa kila wiki anaondoka na laki tano na tutakuwa na wiki nne,.....Ili kushiriki kutakuwa na hashtag ya Lima  na Tupogo ambayo tutakuwa tunaweka clip kwenye acc yangu ya instagram facebook na twitter kwahiyo tutakuwa tunafanya kwa kupitia social network kui-promote hiyo Lima na Tupogo na wengine kama wataweza ku-upload youtube
Posted by kifesi |
Mwanzoni mwa mwaka huu msanii Diamond Platnumz aliiwakilisha Tanzania katika kampeni iliyokuwa ikihamasisha kilimo (One Campaign) na kufanya wimbo pamoja na video na wasanii wakubwa Africa.
Diamond amepata nafasi hiyo kwa mara ya pili ya kufanya kazi na One Campaign na safari hii anaungana tena na wasanii wengine kutoka Africa kwa ajili ya kutengeneza wimbo unaopiga vita ugonjwa wa Ebola

"Kwa taarifa ambazo nimezipata tutatumia beat ya we are the world, tutaimba na kushoot video" amesema Diamond
Licha yakuchaguliwa kuwepo katika kugombani tuzo za hannel O, zitakazofanyika weekend hii  Diamnd pia amepata shavu
la kutoa tuzo mojawapo

"Channel O pia ntatoa Tunzo pale sa subiri uone vingereza vyangu vya kushoto kulia pale wakati natoa tunzo
Posted by kifesi |
Diamond amezidi kuwatia hasira team wema baada ya kupost pic akiwa south africa na manadada Zari bossy lady,unahis hii project mwisho wake nini?
Posted by kifesi |
10802802_1501769050105729_880327384_n
10802894_1552597458309488_1941872915_n
10808495_605721336220068_1845945767_n