.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Noth
Kila ambacho mtoto mdogo anakiona huwa anahisi ni cha kuchezea, atakigusa na kufanya chochote anachojisikia kukifanya kwa wakati huo.
Mtoto wa 
Kim Kardashian
 na Kanye West anayeitwa North aliishika simu ya baba yake, akaingia nayo chooni, kisha akaflush na maji kwenye sink ya choo!

Kim Kardashian and Kanye West are spotted with their adorable baby, North West at LAX AirportKatika mahojiano na kipindi cha On air with Ryan Seacrest, Kim Kardashian amesema alisikia mtu akiflush chooni, alipoenda alikuta mwanaye akiwa amesimama pembeni ya choo huku simu hiyo akiwa tayari ameitumbukiza ndani.
Not last night, but the night before, I hear North in the bathroom and I hear the toilet flushing and flushing… I run in there and I’m like, ‘Wait a minute babe,’ to Kanye. ‘Didn’t she have your phone a second ago?’ The phone was in the toilet! I put it in a bag of rice, [but] nothing worked“– Kim Kadarshian.
Hiyo ilifanya Kanye West kukosekana hewani kwa muda fulani.
Posted by kifesi |

November 26, 2014 taarifa kubwa kutoka Nigeria ilikuwa ni taarifa ya msiba wa mzeeMoses Okoye, baba mzazi wa mastaa wa muziki kutoka Nigeria, P Square.
psquarep
Tangu mzee huyo afariki ni miezi miwili sasa, yamepita matukio mengi huenda tukawa tumeanza kusahau tukio hilo, story iliyoko mitandaoni kutoka Nigeria ni kuhusu ndugu pamoja na familia ya mzee huyo kuandaa mazishi yake.
Tarehe ambayo imepangwa kufanyika mazishi hayo ni January 30, ambayo ni kesho siku ya Ijumaa.
Posted by kifesi |

.
.
Kama utakumbuka siku ya Jan 28, 2015 msanii Shilole alikataa kwamba hakuna ukweli wowote kwenye story iliyoenea kwamba alimpiga mpenzi wake Nuh Mziwanda, alisikika wakati wa U Heard kwenye XXL  ya Clouds FM.
Leo kwenye ukurasa wa Instagram, Shilole amepost picha na ujumbe wa kuwaomba radhi mashabiki wa muziki kuhusu kitendo alichomfanyia msanii mwenzake ambaye pia ni mpenzi wake, Nuh Mziwanda.
Hii ni kwa mashabik wangu wote nawapenda sana pili! Nawaomba radhi kwa kitendo kilichotokea juz binafsi sikupenda but ni hasira tu. Mm pia ni binadamu so kukosea ni kawaida so pili nimuombe na mpenzi wangu kwa nilichofanya! Nawapenda sana haitojitokeza tena one lv sana “@