.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Tunaishi katika ulimwengu ambao Mwanamke akielezea Makosa anayotendewa na mpenzi wake anaonekana Kaonewa na anadai Haki yake.... Lakini Mwanaume akielezea Makosa anayotendewa na Mpenzi wake anaonekana Mshenzi anamdhalilisha Mwenzie.... je unafkiri ni kwanini? na je unahisi hiyo ndio sababu inayowapelekea wadada wengi kufanya vitu vya ajabu Wakiamini wanakimbilio...
Posted by kifesi |
Mwanamke anayejulikana kwa jina la Tatu Ikoko akitishia kusaula mbele ya watu.
HATARI! Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Tatu Ikoko mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, hivi karibuni alifunga mtaa kwa kutembea bila nguo baada ya kumfumania mumewe akiwa na mwanamke mwingine.
Chanzo chetu cha kuaminika kilisema mwanamke huyo aliondoka nyumbani kwake usiku wa Ijumaa iliyopita na aliporejea asubuhi, alimkuta mwenzake akiwa na kigori mwingine ndani ndipo alipopagawa.
“Alitoka usiku mzima akarudi saa moja asubuhi akamkuta bwana’ke yuko na mwanamke mwingine ndani,  akaanzisha vurugu, akavua nguo na kubaki na kanga moja na kuanza kupita mtaani huku akisema nivue nisivue na watu wakawa wanamuitikia vua.
 
Tatu Ikoko akiwa katika hali ya kuvurugwa baada ya kumfuma mumewe na hawara.
“Baada ya hapo tu watu wazima na mashosti zake  walimshika na kumsitiri, akaja bwana’ke akamchukua wakaenda nyumbani kwao,” kilisema chanzo hicho.
Chanzo kiliendelea kufunguka kuwa tukio hilo siyo mara ya kwanza kwa mwanamke huyo kwani alishawahi kufanya hivyo akiwa na mwanamume mwingine aliyejulikana kama Kisiso mtaani hapo na waliachana kwa tabia hiyo.
 
Majirani wakimsitiri Tatu Ikoko.
“Akiwa na mwanaume halafu akamfumania, ndiyo huwa anafanya hivi na yule mshikaji wa kwanza kwa aibu ilibidi ahame, sasa hivi anaishi Mbagala,” kilisema chanzo hicho.imeandikwa na shani ramadhani na mayasa mariwata.
CREDT-GPL
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
 http://www.ijustflow.com/wp-content/uploads/2014/10/30-Days-in-Atlanta.jpg
Starring: AY, Ramsey Nouah, Vivica Foxx, Lyn Whitfield, Karlie Redd, Richard Mofe Damijo, Desmond Elliot, Rachael Oniga, Mercy Johnson, Adah Ameh, Kesse Jabari, Majid Michel, Juliet Ibrahim.
Posted by kifesi |

Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |

OMG.......Damn,North,your mom is naked again! Yap!! 

And I see Yo Momma finally combed yo HAIR!!
Posted by kifesi |
http://www.mkasi.tv/wp-content/uploads/2014/10/mkasi-promo-with-miss-tz-201314.jpg
Posted by kifesi |
http://nairobiwire.com/wp-content/uploads/2014/11/10365766_758110350903353_4805242895969826859_n.jpg
Posted by kifesi |

Msanii wa kimataifa Chameleone amekanusha kumuomba Diamond Collabo baada ya mtandao wa BigEye kuripoti hivyo.

Chameleone amesema ...

1] Wenye Application ya Mziiki ndio walitaka Chameleone awe balozi wa app hio Uganda kama Diamond alivyo balozi wa app hio huku Tanzania na wafanyi wimbo pamoja kama mabalozi.

2] Mpaka sasa hawajakubaliana na App hio, hajampigia Diamond kumuomba collabo, Hajamuwhatsapp Diamond kuhusu collabo,Thats not right alisema Chameleone.
  
3] Chameleone aliendelea kusema "nimefanya muziki kwa miaka 14 sasa, mimi sio upcoming artist, Am not at a level of asking for a collaboration from any artist in that manner,
Posted by kifesi |
Mtandao wa Tmz umeripoti kuwa msanii wa Rnb Chris Brown amempangishia mpenzi wake wa muda mrefu nyumba baada ya kugundua kuwa Karrueche anaujauzito na anahitaji kuwa kwenye mazingira bora zaidi.

Chris Brown na Karrueche Tran wamekuwa wapenzi toka mwaka 2009 na sasa wataishi pamoja kwenye nyumba hio iliyopo Los Angeles inayolipiwa dola $4,600  kwa mwezi.
Gari ya Chris Brown Nje Ya Nyumba Ya Tran
 
Posted by kifesi |

Posted by kifesi |
Groom placing a wedding ring on his Brides fingerKuwepo kwa mitandao ya kijamii kumeleta mambo mengi na mengine sio ya kawaida mfano tabia iliyopo siku hizi ambapo baadhi ya watu wamekuwa wakianzisha uhusiano mpaka wa kimapenzi kupitia mitandao hiyo na hawajawahi kukutana kabla, wapo wachache ambao wameweza kuvuka na kufikia hatua ya kuoana lakini wengi huishia barabarani.
“Wewe sio mwanamke niliyekuwa nakufikiria.. samahani, ila ninakuacha”  bwana harusi alisikika akisema hayo maneno siku ya ndoa baada ya kukutana uso kwa uso na bibi harusi siku ya ndoa yao huko Saudi Arabia.
Wageni waalikwa walishtuka na bibi harusi akapoteza fahamu huku ndugu na jamaa wakimsihi jamaa akubali ndoa hiyo iendelee, utamaduni wa nchi za mashariki ya kati, magharibi mwa Madina wapenzi huweza kuoana hata bila kufahamiana.
Bwana harusi huyu alimpa talaka mkewe siku ya harusi baada ya kumuona uso wake kwa mara ya kwanza wakati mpiga picha alipotaka kuwapiga picha, maharusi hawa kutoka mji wa magharibi wa Saudia,Medinah walikubaliana kuoana licha ya kutoonana uso kwa uso,swala ambalo ni utamaduni mkubwa wa mataifa ya mashariki ya kati.
Medina
Medina
Unaambiwa Mwanamke huyuo alipofungua kitambaa alichokuwa amejifunika uso na kutabasamu kwenye camera, mumewe alishtuka na kuondoka wa ghafla ambapo kwa mujibu wa gazeti la Okaz, mwanamume huyo alianguka na kuzirai.
Hata hivyo Bwana harusi aliliambia gazeti hilo kwamba hakuweza kumwona bi harusi kabla ya harusi ambapo kauli zake ambazo haziwezi kusahaulika ni hizi >>> ”Si wewe msichana niliyetaka kuoa, si wewe kamwe niliyedhani kwa hivyo nakupa talaka’
Kingine kikubwa kilichoripotiwa ni kwamba baada ya Bibi Harusi kupewa talaka alianguka na kuzirai na kuifanya harusi hiyo kuwa usiku wa majonzi.
CREDT-MILLARDAYO
Posted by kifesi |
shishi belgium
Posted by kifesi |
http://i.ytimg.com/vi/jwXwjI47mlw/maxresdefault.jpg
Posted by kifesi |
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/10378252_833977959957353_2677925388952221456_n.jpg
PICHA INAYOONESHA 8INATOKA KWENYE VIDEO YA WIMBO HUO
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/11/Ntampata-Wapi.png