.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |

469557370
Toni Braxton with her sons, Denim & Diezel
That’s a very hot woman and of course, one talented singer … but is this too much?!
Toni Braxton, 47, attended UNCF An Evening of Stars in Atlanta, Georgia, USA this week with her mother, Evelyn Braxton and her two children – sons Denim Cole Braxton-Lewis and Diezel Ky Braxton-Lewis.
As much as she looked great, the dress showed so much of her body through the dress that we’re wondering if this is ‘OK’ to wear next to one’s teenage sons.
Here are some photos from the event!
Red Carpet469546478469546614469556644Performance with Babyface469784642469784556

Posted by kifesi |

rihanna coco 2
Msanii wa Rnb Rihanna aka Rih Rih amekanusha taarifa za kuwa alionekana kwenye video akijitayarisha na kuvuta dawa za kulevya aina ya Cocaine. Video hio inamuonyesha Rihanna na marafiki wachache wa kicheza muziki wa reggae huku Rihanna akivuta kitu kisichojulikana.
Rihanna aliandika hivi instagram kuhusu uvumi huo  uliosambaza na mtumiaji wa instagram ambaye kwa sasa amefuta account Yake..
Your lame ass got some f**king nerve!!!”  “Any fool could see that’s a joint that I’m basing with cigarette! Who snorts tobacco. FOH witcho ‘never been to a rodeo so someone squeezing their nose means they’re doing coke’ lookin ass!!”
rihanna coco
Posted by kifesi |
Ujumbe kutoka kwenye instagram ya Wasafi ambay ni lebel ya Diamond Platnumz wasasema Diamond hukesha usiku kucha na siku zingine mpaka asubuhi akirekodi na maproducer tofauti.
 ..Sa 12 asubuhi.. Baada ya kuutumia usiku mzika akiwa studio ..akapitiwa usingzi mule mule studio ..
Kitu kimoja ambacho hukifaham..Diamond hajawahi kufaidi usingizi wa usiku kww kulala mapema .si kwamba anakawia kulala akiwa anatazama movie..ama anacheza game ama yupo club or bar..
Mda mwingi anautumia akiwa studio kama hivi..ama akiwa nyumbani basi atakesha akiandika nyimbo tofauti tofauti ndio mana usishangae hadi sasa ana mamia ya nyimbo za kila stayle zipo tu stoo..
Then imagine mtu kama huyu
Anavohangikia kazi yake..kwa juhudi zake mwnyewe anatengeneza kazi nzuri..then mtu from no where atake kumshusha hata wengine kumbeza ..
Na wale wavivu Wa kufikiri kuleta stor za ufriimasoni cjui ndumba TZ tubadilikeni basi tuamini tu kua mafanikio hayaji kwa kutegmea mgongo ama kiki ya MTU mwingine ama kukaa / kufanya starehe tuu ukitegemea kufanya vzuri… badala ya kupiga kelele Basi IGA hata mifano yake hii ya anachokifnya
..Good morning Africa…
Hizi ni baadhi ya picha akiwa Surround Studios na Tudd Thomas
d  14 d 12 d 13 d 15 d 16 d 17 d 18
Posted by kifesi |
2G2A1524
IMG_3279
 uzinduzi wa Movie hii uliofanyika APRIL 11 2015 maeneo ya Tegeta, DAR.. tumeona watu wengi wanalalamika kwamba story za kwenye Bongo Movie ni kama zinajirudia rudia hivi, lakini hii iko tofauti.
Story ya movie inahusu Daktari mmoja kutoka Marekani anakuja zake TZ kuvolunteer kama mwezi mmoja hivi.. kumbe hiyo ilikuwa ni mistake kwake?
Mengi yanamtokea huyu Daktari akiwa ndani ya TZ..
Kwa time yao unaweza kuingia mtaani ukaicheki kwenye maduka ambapo inapatikana kwenye DVD, nimeambiwa iko pia kwenye iTunes mtandaoni.
Hapa nna PICHAZ ambazo nimekusogezea uzinduzi iliyokuwa.
2G2A1161
2G2A1202
2G2A1211
2G2A12312G2A1236

2G2A1258
2G2A1283
2G2A1307
2G2A1313
2G2A1361
2G2A1420
2G2A1475
2G2A1513
2G2A1524
Posted by kifesi |
mabeste
Kupitia ukurasa wake wa Instagram leo msanii Mabeste ameelezea mengi kuhusu hali ya mke wake ilivyo na matibabu anayotakiwa kupatiwa.. kwa sasa anahitaji sana msaada wa watu wote ili mke wake aweze kutibiwa.

PART 1. Hii ni kwa waTanzania wenzangu, ndugu zangu na fans wote wa Mabeste!! Watu husema mficha maradhi kifo humuumbua!! Mke wangu anaumwa mda mref tangia ana ujauzito wa mtoto wetu (kendrick) alikua akisumbuliwa na moyo unakua unamuuma, pumzi zinabana! Na alikua anazimia zimia mara kwa mara! Hospital wakasema itakua ni ujauzito unamsumbua!! Na alikua akipimwa pressure inakua low! Mungu alimlinda akajifungua salama mwez wa 7/2013! Lakini ile hali ilizidi kuendelea hata baada ya kujifungua!! Anabanwa pumz, nguvu zinamuishia, moyo unamuenda mbio hata kupelekea kupoteza faham mara kwa mara!! Alikua sometimes anakaa sawa kwa mda mchache kama three weeks ama two kisha inajirudia! Hospital wakawa wanampa bed rest na matibabu kiasi!! Mimi ni mkristo mwenye imani na MUNGU! So nikawa nampeleka hospital na kanisani kufanya maombi! Tumefanya hivyo kwa mda mrefu! Ilibidi niache kaz zangu kipindi ambacho nilitoa (NISHAURI Audio from Am Records) na hata wakat nimepishana na Management yangu ya zamani (Bhits) hata pale wife alikua mgonjwa na studio nilikua sijaenda kwa mda wa miezi mitatu! Nilikua home tu nauguza! kabla ya mapishano kutokea! Na hata ile day nimeenda na wife kwa interview XXL pale pia wife alikua mgonjwa ila alijikaza tu! So kuumwa kwa wife kumefanya nisimame hadi kazi zangu! Ndo maana hata baada ya mapishano btn mm na bhits hamkuendelea kumsikia Mabeste! Niliendelea kuuguza kipindi chote cha 2013 mpaka mwaka jana mwishoni 2014!! Ambapo wife alipata nafuu kwa kiasi ambacho nilidhani yamekwisha sasa naeza rudi kazini! January 2015 nikatangaza kurudi rasmi mzigoni na nikaachia (USIWE BUBU) nilipanga ku fight niachie Usiwe bubu video February, bahati mbaya hali ya wife ikajirudia na ikawa mbaya zaidi ya mwanzo…so ikanibid nitangaze tena rasmi kusimama kazi zangu ili fans wangu msije mkanichukulia vbaya!
A photo posted by Mabeste (@mabeste_tanzania) on 
PART 2.

Wife wangu kwa sasa ni bado ni mgonjwa sana anahitaji usimamiz wa karibu zaidi haswa kutoka kwangu! Nimempeleka agha khan hosp...akafanyiwa vipimo, wakani hamishia muhimbili kwa ajili ya Ct Scan, ili waangalie kwa ubongo kama una uvimbe au damu imevujia! after CT SCAN ma Dr. Wame suggest apimwe M.R.I kwa vile ana symptoms zote za mtu anayekaribia kupata (STROKE) vile vile imegundulika pia psychological ameshakua affected kutokana na stress za mda mrefu, too much thinking etc. So ameshakua affected hadi imekuja physically anakua anakakamaa mwili! Kiukweli she went through a very hard time kwa kuumwa na mawazo zaidi maana tangu amzae mwanetu Kendrick hajapata malezi ya mama! Vile haezi m take care vizuri wkt yeye anaumwa! Kwa sasa bado Tunaendelea na vipimo na matibabu mpaka atakapo maliza vipimo na kupatiwa matibabu! Tatizo nililo nalo!! Nimekaa home mda mrefu sana miaka miwili na nusu sasa bila kufanya kazi kwa ajili ya kuuguza! Maana hali ya wife nilikua siwez kumuacha na mschana wa kazi au mdogo wangu ambao naishi nao coz hawaezi mhandle wife incase lolote likitokea! Na mda wote huo nimekua niko nae kwa ukaribu sana hata kama natoka issue ya muhim na yy yuko sawa kias basi atajikaza tuta toka wote! Hiii imepelekea Mabeste kutoskika kimziki! Kusimama kwa biashara zangu,kumaliza pesa zangu zote Bank!! Maana ilikua pesa zinatumika bila kuingia! Kwa matibabu na basic needs za daily life! Coz nna wadogo zangu pia nawalea! Hapa nilipofikia naomba msaada wenu ili niweze kumtibia my wife! Coz bado anahitaji kuendelea na matibabu na vipimo! Naamini MUNGU mwema Atamponya lakini kwa sasa Nimekwama kuendeleza matibabu vile for two years na nusu nilikua natumia pesa tu bila kuingiza! So kwa yeyote atakaye guswa Tgo pesa 0715032472 jina la usajiri William V. NGOWI 
SPECIAL THANKS TO
@nchakalih @vanessamdee @manecky_amrec
@bobmanecky @officialbriantz @likudaz @clowtz @djmafuvu @adamjuma ( Aj) @adolphghika@castolocavana @kennedyEATV 
na kama kuna nilie msahau thanks saaana kwa support yenu hadi hapa nilipofikia MUNGU