.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Diamond Platinumz anaiwakilisha Tanzania kwenye tuzo za BET zitakazofanyika huko Los Angeles, Marekani.
diaaJana Diamond akiwa na wasanii wenzake wanaowania tuzo katika kipengele cha International Act (Africa) walihudhuria party ya utangulizi (BET Pre Awards VIP Party).
Fally Ipupa aliungana na wasanii wanaowania kipengele kimoja na Diamond ambao ni Davido, Mafikizolo na Tiwa Savage na Sarkodie (hayupo kwenye picha hizi).
ddavidoodiaadiamondtiwa2

Posted by kifesi |

Leo ni Leo asemaye kesho ni muongo, Aijawai kutokea katika history ya Tanzania kwa mwanamziki yoyote kwenda kugombea tuzo za BET award naombeni watu wote tuwe pamoja tuache tofauti zetu tum support mTanzania mwenzetu akipata yeye ndio tumepata Tanzania nzima. TUNAJIVUNIA UPENDO NA AMANI , atakua ametuinua katika level ya kima taifa ya mziki .Mwenyezi mungu akufungulie kila la kheri na baraka @diamondplatnumz uweze kushinda , kama kuna uzito wowote kwako Mwenyezi Mungu Au fanye uwe mwepesi uweze kupata tuzo yako InshaAllah . WaTanzania wenzangu kokote pale mlipo please tuunganeni jamani tumuombeeni mwezetu @diamondplatnumzashinde kwenye hii tunzo ya BET,kwani anastahili kuipata kwa jinsi anavyojituma usiku na Mchana bila kujali.Eeeh M/Mungu mshindishe kiumbe wako,na umpe nguvu, ushujaa na umng'arishe katika huu wimbo wake wa Number One ,ambao ndio waliouchagua kushindanishwa.Eeeeeh Mola wetu pale wanapozitaja nyimbo zote za kushindanishwa basi tunakuomba mola wetu isikike nyimbo yake tu masikioni mwa watu na waione nyimbo yake tu machoni mwa watu, umpe ushindi hii siku ya Leo na umpe furaha kubwa ya mavuno yake ili arudi nyumbani kwa faida kubwa ya kutupeperushia bendera yetu ya Tanzania na kusikika dunia nzima si kwake tu Bali kwa watanzania wote InshaAllah ...... Mimi na familia yangu tumeshamuombea Duwaah naomba na wewe mTanzania mwenzangu umuombee, Shukran .......I wish you all the best@diamondplatnumz and remember if no one else believes in you,I believe in you. Aspire to inspire.