.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Chris Brown, Karrueche Tran, Music Video
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |

Idris 1 houseNi mshindi wa Big brother Africa 2014 Idris Sultan ambae anaendeleza matunda ya ushindi wake wa BBA na sasa kajipatia nyumba yake ya kuishi ambayo pamoja na mengine ina sebule mbili na anatarajia kuanza kuishi kwenye nyumba hii kuanzia Jumapili January 25 2015.
Idris 2 house
Nyumba ipo Mbezi Beach Dar es salaam.