.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Ni comedian wa kike toka ,Uganda,Africa mashariki
aliyejizolea umaafuru kwa comedy zake..tazama hapa baadhi ya video zake,lazima ucheke
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/02/kansiime.jpg
Posted by kifesi |
The secret of a happy marriage
 is finding the right person. 
You know they're right if you love 
to be with them all the time

 











Posted by kifesi |
http://tourismupdates.com/wp-content/uploads/2014/05/hawaii-wallpaper-1920x1080wallpapers-hawaii-free-cool-and-for-your-or-1920x1080-et9ihujr.jpg
sehem ya kisiwa cha hawaii
Ukiwa na pesa hapa duniani bila shaka hakuna 
utakaloshindwa kulifnya kulingana tu na ulefu wa pesa yako,sikia 
hii,,Mmiliki wa mtandao mkubwa wa kijamii Facebook
 Mark Zuckerberg amenunua sehemu kubwa ya kisiwa cha Hawaii iitwayo Kauai kwa 
 dola za Kimarekani milioni 100 jarida la Forbes limeripoti.
Eneo hilolitajumuisha beach resort, mashamba ya miwa na
 kilimo hai ambapo kwa sheria za Hawaii beach resort hiyo
 lazima iachwe wazi kwa matumizi ya jamii kwa
 sababu kisiwa hiko hakina sheria ya umiliki binafsi wa mchanga.
Zuckerberg anakua ni bilionea wa pili kununua sehemu ya 
Hawaii. Mwaka jana mwenyekiti wa Oracle 
Larry Ellison alinunua upande mzima wa Lanai, Hawaii kwa dola milioni 600
Posted by kifesi |


















Posted by kifesi |
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2012/11/ommy.jpeg
Posted by kifesi |
http://www.islandcrisis.net/wp-content/uploads/2012/04/Titanic-Original-Photo.jpg
Posted by kifesi |
.
.
Ambwene Yesaya aka AY ambaye ni mmoja kati ya wasanii wachache wa Tanzania ambao ujio wao huwa hautabiriki kutokana na uwezo wake mkubwa wa kufanya mitindo mingi ya muziki.
Good News ni kwamba sasa hivi yuko nchini Marekani ambako ameenda kushoot video wa wimbo mpya ‘Going Down’ aliowashirikisha  Ms Triniti & Lamyia,ikiwemo na ile collabo aliyofanya na msanii wa Marekani mwenye asili ya jamaica ‘Sean Kingston
Kupitia ukurasa wake instagram hitmaker huyo wa single ‘Adela’ ameshare picha akiwa huko Marekani katika utengenezaji wa video hizo mbili kuandika
Bongo Flava we’ve arrived to

Hollywood
Hills…I’ll tell u later what m doin here with @seankingston#TANZANIA #Jamaica
CRDT-Millardayo.com 

.
.#Repost from @producerriley with @repostapp — Tanzanians best AY and I shooting a video for the next single. Looking for our second #1 video in Africa !! #africa #ay #tanzania #seankingston #mstriniti
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.#SeanKingston and #Ms.Trinity #poker #musicvideo