.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |

Channel O wametangaza majina ya wasanii watakaowania tuzo za
CHOAMVA mwaka huu. Diamond
ametajwa kuwania vipengele vinne
ambavyo ni pamoja na 
MOST GIFTEDVIDEO OF THE YEAR, 
MOST GIFTEDNEWCOMER, 
MOST GIFTED AFRO POP
na MOST GIFTED EAST AFRICA
VOTE HAPA
Posted by kifesi |

Siku ya leo mwanamuziki nguli wa Bongo fleva , Diamond Platnumz yupo nchini Africa Kusini akishoot kipindi na Televisheni ya MTVBase ya nchini humo. Bado haikuweza kujulikana kipindi hicho kinahusu nini lakini itaelekea kitakua si tu kuhusu Diamond bali Tanzania kwa ujumla baada ya Diamond kuanza kurekodia kipindi hicho kwenye balozi za Tanzania nchini Africa kusini…
lkupitia insta ameandika 
diamondplatnumz kwakuwa siku ya leo nzima nitakuwa nazunguka na @mtvbaseafrica wakinishoot... nimeona ni bora nianzie kwenye ubalozi wetu waTanzania hapa Mjini Pretoria/ south Africa... ili walau wapate kujua machache yahusiayo naTanzania... 


Posted by kifesi |
Add caption
Posted by kifesi |
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/09/914475_660337117417625_759616584_n.jpg
Week hii story kubwa ni kuhusu taarifa ya kuhusu jengo panamofanyikia mashindano ya BBA kuripotiwa kuungua,na wahuika kutangaza kuwa mashindano hayo hayataanza jumapili kama ilivyotalajiwa..japo mda mwingine ishu kama hizi huundwa kama nia ya kutafuta kick na swali la kujiuliza hapa kama ni kweli,mbona jengo linalodaiwa ndio jengo la BBA mbna halina hadhi hiyo? na mbna picha ni zile zile tuu inamana hakua picha za matukio zaidi,lakini la mwisho..Diamond ni mmoja wa wasanii walotalajiwa kutumbuiza kwenye ufunguzi hapo jumapili,lakini wamepost picha,wakienda na wakiwa South Afrika je wameenda kufanya nini??? wacha tuone

“Big Brother Africa” House Burns Down
Posted by kifesi |

ciara14f-2-web
Imeripotiwa kuwa Ciara na Mchuba wake Rapper,Future wameamua kuziweka kando tofauti zao,ili walee mtoto,Ciara na Future walitengana baada ya Ciara kugundua kuwa Future ana mchepuko....
Posted by kifesi |
the QUARTZ Blog


Huffington Post limeripoti habari kutoka Uingereza ya kusikitisha ya kijana Rhys Culley kumng’ata vibaya midomo mpenzi wake Chanttelle Ward mwenye umri wa miaka 18 wakati anamkiss baada ya kuwa na ugomvi unaohusisha na wivu wa mapenzi.
Kijana huyo wa miaka 23 alikuwa na wasiwasi baada ya kuhisi kuwa mpenzi wake alikuwa anachat na mwanaume kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook akimsaliti.
Akisimulia mkasa huo mbele ya jopo la majaji, Chanttelle ameeleza kuwa baada ya kutoka kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa ya mama yake msichana huyo walielekea nyumbani kwao ambapo Rhys alianzisha mzozo akimtuhumu kuwa anamsaliti kupitia Facebook.
Kijana huyo alichukua simu ya Chanttelle kwa makubaliano ya kuangalia jumbe alizokuwa anatuma Facebook lakini hakukuta mawasiliano kati ya msichana huyo na mwanaume aliyekuwa anamhisi. Moja kwa moja akaanza kupaza sauti kwa hasira akidai kuwa amezifuta.
Hasira za kijana huyo zilimuogopesha akaona ni bora ampigie simu mama yake lakini alinyang’anywa simu. Rhys alifunga mlango na kuendelea kumshambulia kwa maneno.
Chanttelle anaeleza kuwa mgogoro huo ulipofikia hatua ya kupoa hivi, kijana huyo alimkiss huku akimuuliza kama kweli ana mpenda na hapo ndipo kila kitu kilibadilika.
“Aliweka mdomo wake wote kuzungumguka lips zangu na kuvuta, nilidhani lips zote zimetoka. Damu zilisambaa kila sehemu.” Msichana huyo alieleza.

Polisi walipofika walikuta wote wametapakaa damu usoni, wakamkamata kijana huyo na kumkimbiza Chanttelle hospitali huku akiwa na mikwaruzo katika sehemu mbalimbali za mwili.
Mwanaume huyo alipopewa nafasi ya kujitetea mahakamani hapo, alieleza kuwa hakuwa na nia mbaya ya kumuumiza mrembo wake ambaye anadai alikuwa na bahati kuwa naye.
Rhys alikutwa na hatia. Alirudishwa rumande na anasubiri hukumu yake mwezi ujao.
Posted by kifesi |

Msichana wa miaka 18, raia wa India aliyetajwa kwa jina la Mangli Munda amefunga ndoa na mbwa baada ya kulazimishwa na wazazi wake kufanya hivyo kwa imani kuwa atafukuza roho za kishetani na mikosi inazomsonga.
Mbwa huyo alitafutwa na baba mzazi wa mrembo huyo na kufanyika sherehe kubwa ikiwa na vitendo vyote vinavyofanywa na ya bibi harusi na bwana harusi kwa taratibu zao za ndoa.
Kwa mujibu wa Yahoo News, msichana huyo hakuwa na furaha kabisa na alieleza wazi jinsi alivyochukizwa na kitendo hicho, “Siifurahii kabisa hii ndoa.”

“Tulilazimika kutumia pesa nyingi kwa ajili ya hii ndoa. Hiyo ndiyo njia pekee tunayoweza kufanya kuondoa mikosi aliyonayo na kufanya tendo jema kwa ajili ya kijiji chetu.” Amekaririwa mama yake Munda.
Imani potovu zinasababisha ukatili wa kijinsia na udhalilishaji!
Posted by kifesi |
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/03/cpwaa2.jpg
Posted by kifesi |
Jarida la GQ Limetoa picha za super model Kim Kardashian zitakazo wekwa kwenye toleo jipya ambalo Kim ametajwa kuwa mwanamke wa mwaka. Kim ambaye ni mke wa rapper Kanye West amepozi bila nguo huku akificha baadhi ya sehemu kwenye mwili wake.
Kim-Kardashian-British-GQ-October-2014-1 kim-kardashian-gq-2-e1409746841981 kim-kardashian-gq-3-e1409746877143 kim-kardashian-gq-e1409746933702
Posted by kifesi |
Baada ya kufunga ndoa kwa siri bila kukaribisha vyombo vya habari na mapaparzi kwenye sherehe ya ndoa yao Ufaransa Brad Pitt na Angelina Jolie wameuza picha za harusi yao.
Majarida mawili ambayo ni People na Hello wamelipa kwa pamoja dola milioni 2 za Kimarekani.
Brad Pitt na Jolie waliwahi kuuza picha za kwanza za mtoto wao wa kike kwa jarida la people kwa dola milioni nne, mwaka 2007 waliuza picha zao za mtoto wao wa kiume, mwaka 2008 ilisemekana wamelipwa dola milioni 14 na jarida la people ili kupata picha za watoto wao mapacha ambao ni Viviennena Knox.
prd 1 prd 2 Screen-Shot-2014-09-03-at-4.35.29-AM Screen-Shot-2014-09-03-at-4.36.15-AM Screen-Shot-2014-09-03-at-4.37.10-AM