.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |

minaj  3Nicki minaj ni mmoja ya mastaa wa kike wengi,wanaoandamwa na shutuma za kuwa na makalio feki(waliyojiongeza kwa operation ama madawa)japo shutuma hizo hazijawahi sibitishwa,sasa Kwenye show ya Fashion Rock Aliyofanya Rapper Nicki Minaj inasemekana alikaa vibaya na makalio yake kuonekana tofauti na yalivyozoeleka kama unavyoona pichani na kuzua gumzo kuwa yanaweza kuwa feki kama wengi wanavyodai.minaj 2

0 comments:

Post a Comment