.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |

Miss Temeke na Hamza Mrisho Katibu wa jumuiya oak California
Posted by kifesi |


Friday 18th July 2014, the Most Beautiful Girl in Nigeria finale went down in Bayelsa. And the winner is Iheoma Nnadi. She will represent Nigeria at the Miss World pageantry.




Posted by kifesi |
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/07/10554168_1456317407967676_445208554_n.jpg
Posted by kifesi |
malay2
Wafanyakazi wa dharura wa Ukraine wanasema wamekuta miili ya watu 196 katika eneo ilipotokea ajali ya ndege ya
Malaysia ya MH17.
Jumla ya watu 298 walikuwemo ndani ya ndege hiyo wakati iliporipotiwa kutunguliwa katika eneo linaloshikiliwa na waasi la ukanda wa Donetsk siku ya Alhamis.
Nchi za Magharibi zimekosoa vikwazo vinavyowekwa katika eneo ilipotokea ajali na kuitaka serikali ya Urusi kuweka shinikizo kwa serikali ya Ukraine kuruhusu kuingia katika eneo hilo.
malay
Waangalizi wa kimataifa wanatarajia kutembelea eneo hilo tena hapo baadae.
Serikali zote Ukraine na Urusi zimetuhumiana kwa kuitungua ndege hiyo iliyokuwa ikiruka kutoka Amsterdam kwenda Kuala Lumpur.
Posted by kifesi |
Mwanamuziki maarufu wa nchini Uganda, Juliana Kanyomozi, leo asubuhi amempoteza mtoto wake mdogo wa kiume Keron baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa Pumu. Kwa mujibu wa gazeti na New Vision Keron amefariki katika hospitali ya Aghakhan.
Kanyomozi
Ni wakati mgumu kwa mwanamuziki huyo mrembo kwakuwa amekuwa akimpenda sana mtoto wake wakati akithibitisha taarifa hizo.
New Vision imemnukuu Juliana akisema kuwa” Malaika wangu ametangulia kwa Mungu, kilichosambazwa awali ni uzushi. Amefariki leo saa 10:25 asubuhi hii, amekuwa mpambanaji mkubwa wa afya yake nawashukuru wote kwa maombi yenu nitajitahidi kujikaza, Mungu amlaze mahali pema Keron lala salama mwanangu hadi tutakapokutana tena.”
Juliana amewaomba mashabiki wake kumuombea mtoto wake huyo haswa katika kipindi hiki kigumu kwake.
Juliana amesema mtoto wake hakuwa katika hali nzuri baada ya kushambuliwa na ugonjwa wa Pumu uliomsababishia kupoteza maisha.
crdt-millardayo