.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |

Leo ningependa niweke uthibitisho wa dhidi ya madai 
na maoni ya baadhi ya  watu 
waliopinga tangazo  la kwamba sijaalikwa kwenye
 maonyesho ya tamaduni yanayofanywa na Balozi
 mbalimbali Washington, DC na kubeba jina la PASSPORT DC
 yakiwa chini ya Caltural Tourism DC na yanayoadhimishwa
 kila mwaka wakati huu wa majira ya spring.wanaodai 
Posted by kifesi |

Kwenye Exclusive interview na mtangazaji Sporah wa 
The Sporah show, Jaq amekanusha kwamba yeye ni 
msagaji japo mara kadhaa ameonekana akivaa kiume
 na kusisitiza ‘sasa hivi nimepunguza sana kuvaa nguo za
 kiume, wengi walikua wanahisi lakini sijawahi kufanya 
vitendo vya usagaji na wala sijawahi kushawishiwa na mtu
Posted by kifesi |