.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |

Leo ningependa niweke uthibitisho wa dhidi ya madai 
na maoni ya baadhi ya  watu 
waliopinga tangazo  la kwamba sijaalikwa kwenye
 maonyesho ya tamaduni yanayofanywa na Balozi
 mbalimbali Washington, DC na kubeba jina la PASSPORT DC
 yakiwa chini ya Caltural Tourism DC na yanayoadhimishwa
 kila mwaka wakati huu wa majira ya spring.wanaodai 

 sijaalikwa sio kweli kwani muasisi wa PASSPORT DC
 alinifuata baada ya kuona meza yangu siku ya
\ maadhimisho ya sherehe ya miaka 50 ya Muungano
 na kuniomba barua pepe yangu na kwamba angependa niwe
 mmoja ya washiriki kwa kuiwakilisha Tanzania na 
pia kama naweza kuonyesha mitindo ya mbalimbali 
ya nguo za KWETU Fashions. Baada ya
 Hapo mawasiliano yalianza na mimi kuweka tangazo
 langu kwenye mitandao na waosha vinywa kuanza 
kusukutua bila mswaki huku wengi wakidai nadanganya na
 wengine kulazimisha kuleta vitu vyao bila kujua meza
 zimetolewa kwa hesabu. Mimi Barua yangu ya mwaliko hii hapa mchana
 kweupe na naomba aliyejileta kwa kudai maonesho
 yalikuwa ya wazi naomba nae alete barua yake ya mwaliko 
hapa ama kwenye blog ya Vijimambo.

hii ndiyo barua ya mwaliko

0 comments:

Post a Comment