.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Screen Shot 2014-09-09 at 1.29.37 PM
Posted by kifesi |
Photo: It's Me Winnie Eliandro Shontell, Nald Clever(#Mo_Town_Kid, Winnie Romeo na Singo Sally, some where.
angalia video yetu hapa https://www.youtube.com/watch?v=QYgDh3eRNXQ
Posted by kifesi |
Screen Shot 2014-09-09 at 1.37.07 PM
Mashindano makubwa ya urembo,Miss Universe Tanzania 2014 yameanza na  kama unaamini una vigezo nafasi  hii ni yako 
Na tatiba ya usaili ni  Mwanza itakua Gold Crest tarehe 14 /09/2014 saa 4 asubuhi mpaka saa 9 alasiri, Arusha ni tarehe 12/09/2014 Mbeya na Iringa tarehe 16/09/2014 alafu Dar es salaam itakua tarehe 19/09/2014ambapo sehemu itakapofanyikia pamoja na muda utatangaziwa baadae lakini kama unahitaji maelezo zaidi piga hizi namba 0655441165/0713302075
Posted by kifesi |
925618_335454439953990_1446835988_n
Posted by kifesi |

Posted by kifesi |
Tuzo kubwa za MTVEUROPE zimewadia na Mtanzania Diamond platnumz ameteuliwa ,kuwania kipengele cha mwanmziki bora wa Afrika/,kama utakumbuka za mwanzo zilikuwa ni tuzo za Mtv kwa aAfrika pekee,
kuteuliwa huko kumekuha wakati tayri yupo nominated kwenye Tuzo zingine mbili za kimatifa,#IRAWMA za nchini MAREKANI NA CHANNEL O ZA Africa kusini akiwa nominated kwenye category 4..
MTV EUROPE anapambana na Davido,Goldfish wa afrika kusini na Toofan wa Togo
Mungu Mbaliki diamond,Bariki Bongo fleva na Tz
Davido (Nigeria)
 
 
 
 
 

Goldfish (South Africa)
 
 
 

 
Diamond (Tanzania)
 
 
 
 
 

Toofan (Togo) 

 
 
 

Posted by kifesi |
AMBASSADOR MWANAIDI AKIWA AMEPENDEZA NDANI  NA VAZI LA KWETU FASHION