.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Lupita Nyong'o amekava Jarida La Glamour kama 'Mwanamke Wa Mwaka' na haya ndio mambo matano aliyosema kuhusu maisha yake.
1] Anapenda sana kuigiza ila anapata changamoto nyingi kuishi kama mtu maarufu.

2] Ndani ya mwaka mmoja ametoka kwenye kuangalia Tuzo za Oscar kwenye Tv mpaka kushinda tuzo ya Oscar.

3] Imehamasishwa sana na maisha ya Oprah.

4] Aliambiwa yeye ni mzuri akiwa nyumbani ila vyombo vya habari vilimpa mtazamo tofauti.

5] Ameteka watu wengi na style yake inayoitwa 'The Lupita Effect'





Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Katika dunia yetu hii ya leo iliyovaa min skirt ni ngumu mno wenzi kufikia hatua mliyoifikia,hatua ya uchumba,kwa furaha niliyonayo sina maneno mengi ya kuongea zaidi ya kuwapa hongera,na kuwaombea kwa Mungu alinde uchumba wenu,azidishe upendo kati yenu na baadae mfikie ile hatua ya Mhimu,hatua ya ndoa,God bless you. by Miss Temeke.



Posted by kifesi |