.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Kitu kibaya zaidi kinachokosewa na wanadamu wa nyakati hizi kwenye mapenzi ni kwamba wanapingana na haja za nafsi zao na wanafuata msukumo wa matamanio ya viungo vyao vya uzazi,unapomuoa mwanamke kwa sifa ya kujua kukata mauno unakosea kwa kuwa si kila muda utahitaji  kukatiwa viuno kwenye ndoa.
kuna kipindi utahitaji ukarimu wa mumeo wa mumeo ili uweze kufurahia maisha ya ndoa na pia kuna kipindi utahitaji tu busara za mkeo ili uweze kuikamilisha furaha yako kwenye ndoa.



Tunapochagua wenzi wetu wa maisha tusiangalie sababu za kimatamanio kwani vile vitu vilivyokuvuta kwake baada ya muda utaviona vya kawaida na utamuhitaji yeye kama yeye na sio sababu ya vile alivyo navyo na hapo ndipo yanapo simama mapenzi halisi kwa maana ya mapenzi na kamwe hawezi kuwa si size yako na wala hata kupwelepweta bure,kwani mapenzi yenu yenye nguvu yataziba kila mahala penye tundu ya usaliti.

\
Posted by kifesi |

11055866_373486159504502_1700260159_n
Posted by kifesi |
wwKwenye kila idara siku hizi kuna habari zake nyingi tu, utaambiwa Wanamichezo 10 matajiri duniani, 10 wanaouza zaidi kibiashara, Magari 10 ya bei ghali zaidi duniani…. hizo ni baadhi tu ya countdown ambazo tunazo kwenye haya maisha ya kila siku.
List ya hawa warembo ilitoka zaidi ya miezi miwili iliyopita so kama ilikupita fanya hesabu pamoja na mimi kwenye hii post, wanasema sio Warembo wa Ulaya bali hii ni list ya dunia.
a1#1 Nina Dobrev - mrembo huyu aliyetajwa kushika namba moja ni mwigizaji na Model mzaliwa wa Bulgaria aliyekulia Canada.
a2#2 Emmanuelle Chriqui – Ni mwigizaji raia wa Canada ambaye alianza uigizaji akiwa na miaka 10 ambapo jina lake linahusika pia kwenye movie ya mwaka 2008 ‘You Don’t Mess with the Zohan’
a3#3 Jessica Alba – Ni mwigizaji kutoka Marekani ambae ni mfanyabiashara na model pia ambapo alianza uigizaji akiwa na umri wa miaka 13 tu.
a4#4 Dianna Agron – ni mwigizaji kutoka Marekani ambae ana vipaji vya kuimba pamoja na kucheza pia.
a5#5 Monica Bellucci – Mrembo huyu wa Italy ndio kashika namba 5, akiwa ni mwigizaji pamoja na fashion Model.
a6#6 Olivia Wilde – Olivia ni mwigizaji wa Marekani, screenwriter na producer vilevile na pia amewahi kuonekana kwenye movie ya ‘The Girl Next Door
a7#7 Scarlett Johansson – ni Mmarekani ambae ni model, mwigizaji na mwimbaji pia aliyezaliwa kwenye jiji la New York.
a8#8 Penelope Cruz – ni mtoto wa Hispania, ni mwigizaji na Model Spain.
a9#9 Hayden Panettiere – Mmarekani ambae ni mwigizaji, mwimbaji na mwanaharakati.
a10#10 Angelina Jolie – Namba kumi ndio hii imechukuliwa na Angelina ambae ni mwigizaji na mwogozaji wa Filamu.
a11#11 Charlize Theron ndio jina la huyu mrembo hapa juu kwenye picha, ni mtoto kutoka South Africa na kazi yake kubwa mwigizaji na sasa ni mtayarishaji wa vipindi vya TV na filamu vilevile.
a12#12 Meryem Uzerli mtoto mwenye damu ya Kituruki na Kijerumani, ni mwigizaji na model pia.
a13#13 Keira Knightley ni wa London Uingereza, mwigizaji pamoja na mwimbaji.
a14#14 Olga Kurylenko kaiwakilisha Ufaransa kwenye hii list, ni mwigizaji na model pia.
a15#15 Mwigizaji Mmarekani Anne Hathaway ndio wa mwisho kwenye hii list.. una comment yoyote kwenye hii list? usisite kuiandika hapa chini mtu wangu
Posted by kifesi |

Imeripotiwa kuwa Miss Tanzania wa zamani ambae ni mchumba wa mda mlefu wa billionea reginald mengi, jackuline klyn leo amefanikisha kufunga ndoa huko ufaransa paris na billionea huyo, kama ilivyo ada na kuwaida mitandao ya kijamii ukiwemo na insta, as it known yakuwa hapo juzi kati mwanadada huyo aliweka tiza kwenye mtandao wake wa insta ya kuwa final destination, so kama ulikuwa hujui ndo tunakufungua macho yakuwa final destination yenyew ndio hii ya kuolewa baada ya kupitia misukosuko mengi, soon tutawaletea picha za harusi na ndoa ya klyn,na mengi huko france
by thechoicetz
Posted by kifesi |


Diamond house Baba Levo ambae huwa anasikika kwenye Ampifaya ya CloudsFM Jumatatu mpaka Ijumaa, moja ya fix zake wiki hii ilikua ni kuhusu nyumba mpya ya Diamond Platnumz ambayo imetengenezwa kwa gharama na kunakshwiwa kwa gold bafuni.