.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
http://scontent-b.cdninstagram.com/hphotos-xaf1/t51.2885-15/10731720_915742591772314_1055515280_a.jpghttps://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEio5jJjbhp8VQdJpsInep0Gn0NnqsdcNPNuIpCVzTC-HqtTu3PbOfoeDvBCTPUFFnWJ2K5j6vmPtXrqGh7DytM8qIvTxTzXZc-HQzdvrZzHtVpcbGakgLxrvejTNPX-sQBZm-61n0H_thk/s1600/Diamond+Platnumz+azidi+kupanda+daraja,+Sasa+kuwania+BET+Award+kipengele+cha+Best+International+Act+Africa.jpg

Posted by kifesi |
DesireWaziri wa Maadili wa Uganda Simon Lokodo ameagiza kukamatwa kwa msanii Franklin kutoka Nigeria ambaye anatuhumiwa kwa kusambaza picha za utupu alizopiga akiwa na mpenzi wake Desire Luzinda.
Serikali ya Uganda ilipitisha sheria ya ‘Anti-ponography’ ambapo kusambaa kwa picha hizo kunamtia hatiani jamaa huyo kwa kuvunja sheria hiyo,iwapo atakutwa na hatia adhabu yake ni faini ya milioni 50 za Uganda sawa na dola elfu 20 ambazo ni zaidi ya milioni 30 za Kitanzania au kifungo cha miaka 10.
Franklin anatafutwa kwa kuvujisha picha hizo ambapo inasemekana kuvunjika kwa uhusiano wao kumepelekea jamaa huyo kuvujisha picha hizo.
Franklin-and-Desire-during-their-hey-days
Posted by kifesi |
Kelly Rowland, MTV VMA's 2014
Kelly Rowland is officially a proud mama!
E! News confirms the singer and former Destiny's Child member welcomed a baby boy with husband Tim Weatherspoon Tuesday. Born at 1:30 p.m. PT, son Titan Jewell Weatherspoon weighed 7.5 lbs.
"We are thrilled to announce that today we are the proud parents of our first son," Rowland said in a statement. "We are blessed to report everyone is healthy and happy!" People was first to report the news. 
In the weeks leading up to her special delivery, the 33-year-old shared details about how her pregnancy was going, as well as a few sweet cravings.
"It's mind-boggling. It's pretty amazing," Rowland shared with E! News in September. "Of course you know there's life before that growing inside of you but then when you actually start feeling these different things happening—the flutters, and kicks and punches—I'm at a loss for words."
But as the due date got closer, Rowland admitted to getting a little eager. "Now it's getting to the time where I'm getting a bit antsy and I would really, really love to see the baby's face. I can't wait!" 
Kelly Rowland
Posted by kifesi |
rihanna-esquire-uk-7
rihanna-esquire-uk-5
rihanna-esquire-uk-4
rihanna-esquire-uk-2
rihanna-esquire-uk-1
rihanna-esquire-uk-6
Posted by kifesi |
Kuna usemi usemao kuwa kama wanaume wangechukua nafasi ya wanawake kuzaa watoto, leo hii kusingekuwa na binadamu. Na sasa uchungu wanaoupata wanawake wakati wa kuzaa unaweza kuonjwa na wanaume nchini China.
1415134673895_wps_2_Pic_shows_Man_uses_an_ele

 Hospitali moja kwenye mji wa Jinan uliopo kwenye jimbo la Shandong, linawaonjesha wanaume kwenye kifaa maalum ‘childbirth simulator’ ili kujionea wenyewe kile wake zao huwa wanakutana nacho wakati wa kujifungua. 
 1415136362038_wps_7_Pic_shows_Man_is_crying_a
Machozi yakimtoka mwanaume aliyewekewa mashine ya uchungu wa kuzaa
 
 Watu wengi wanaojitolea kuwekewa mashine hiyo ni waume au wachumba wa wanawake wenye ujauzito. Mwanaume akisikilizia maumivu makali kama wayapatayo wanawake wakati wa kujifungua Hospitali hiyo imesema inataka kuwaonesha wanaume jinsi wanawaarticle-2626363-1DC5C28400000578-840_634x432
ke wanavyoteseka wakati wa kuzaa ili wanaume waheshimu kile wanawake wanakipitia. Wanaume wengi katika zoezi hilo walilia na wengi waliweza kuhimili maumivu hayo kwa dakika chache tu