.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |


Story mjini ni kwamba Wiz Khalifa ameokana akila good 
times  mrembo Sara Dajstani ambae ni model na inasemekana 
kwamba ndio mpenzi wake mpya baada ya kumwagana na Amber.siku chache zilizopita.
Wawili hawa walionekana pamoja kwenye ‘bata’ huko 
Hollywood Marekani Jumanne ya wiki hii ambapo japo 
hawakukamatwa na camera wakiwa kwenye picha 
ya pamoja,  walikuwepo pamoja ndani na hata kuondoka waliondoka pamoja

http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/10/Wiz-Khalifa-2.png
Posted by kifesi |
 
estinaGeorge.Com imekuwa nominated kushindania 
tuzo za BEFFTA zitakazo fanyika nchini Uingereza 
mwishioni mwa mwezi huu October. Ili kuiwezesha
 kushinda anahitaji kura zetu. Kupiga kura
 unatakiwa kwenda www.beffta.com/voting kuna link
 kwenye bio yake @officialjestinageorgeblog kisha 
fuata maelekezo. Ukisha jaza jina na email yako pale 
kwenye Nomination Category unachagua
Newspaper/Magazines/Blogs 4. Blog of the Year 
and then chini yake ndo kuna Nominee unachagua Jestinageorge.com
Asanteni kwa support yenu.
Vote as many times as you can.

Posted by kifesi |
 
Diamond platnumz anakua msanii wa kwanza kuweka jina lake badala ya namba kwenye gari.
ambapo Utaratibu wa kuweka majina badala ya namba umeanza kutumika kihalali nchini Tanzania ambapo watu mbalimbali wasio maarufu walishaanza kujiwekea miezi kadhaa iliyopita ambapo ada yake ni milioni tano kwa miaka mitatu.
Mpango wa mastaa kuweka majina kwenye magari yao badala ya namba tulizozizoea umekua ukitumika kwenye nchi mbalimbali duniani
Posted by kifesi |
http://www.iraptunes.com/wp-content/uploads/2014/09/Yemi-Alade-Diamond-Platnumz-Team-Up-For-Coke-Studio-Recording-2.jpg
Posted by kifesi |
10729181_369319663235515_476952084_n
Nay wa Mitego na mpenzi wake Siwema,ni moja ya couple za mastaa zinazofahamika zaidi Taanzania
kupitia instagram ,Nay ameshare pic ikimwonesha mpenzi wake akiwa na mimba kubwa tu,so soon tutegemee kiumbe kipya toka kwa wawili hawa
Posted by kifesi |
 Tazama picha za CEO na mbunifu wa mavazi ya kwetu fashion,Miss t akiwa ndani ya vazi alilolidesign yeye mwenyewe,usisahu kuwa Miss T
 anapenda kudumisha vya nyumbani ndio mana mavazi yake mengi,yako katika mwonekano wa Kiafrica,mwonekano wa kinyumbani kama vazi hili alilovaa siku ya mkutano wa DICOTA,Hatukukwambia kama Miss Temeke ni Model pia siyo tu model wa kupitia mafunzo bali model wa kuzaliwa,pasipo shaka mwonekano wake na vazi 
mavazi yanvyomkaa say it all.
Enjoy picha ila usisahau kuwasiliana nasi kwa mawasiliano hapo juu ili kupata bidhaa yoyote ya kwetu fashion











Posted by kifesi |
1016-joan-rivers-tmz-02
Alivyokuwa uzeeni kabla hajafa



Posted by kifesi |
Toka mshindi wa miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu atangazwe yameibuka maswali mengi sana, juu ya umri wake halisi, yeye akisema ana miaka 18 na baba yake akisema amezaliwa 1989 na mama yake akisema amezaliwa 1985, na uku kamati ya miss tanzania ikisema amezaliwa 1991 hivyo ana miaka 23...

Team ya kazi ilibidi iingie mtaani hapa Dallas ili kuweza kubaini ukweli wa mambo kuanzia elimu yake na umri sahihi, tumeweza kupata nyaraka zake mbali mbali kuanzia za elimu hadi za kuzaliwa, na bila kusahau yale mambo ya faragha nayo

pia
hayakukosekanika kama ilivyo desturi mabinti wa kisasa.

Huyu binti wa Mtemvu ana elimu zaidi ya ile ya form IV aliyoipatia Bongo na kuishia kupata mswaki, na sasa hapa anajishughulisha na mambo ya Acting/modeling

Akiwa amezaliwa 31 May 1989 kama inavyoonekana kwenye passport yake.

Jamiiforums ni sehemu ya heshima, tunashindwa kuweka picha zake za faragha au video kwa kuwa lengo letu sio kumdhalilisha bali ni kuweka ukweli bayana, kadri siku zinavyo kwenda mengi zaidi yatajulikana juu ya huyu mrembo ambaye wengi mnasema hana sifa hiyo


By mzalendo91:
18yrs of age
Minus 2yrs masters 3yrs bachelor = 13yrs of age

Minus 6yrs secondary education = 7yrs of age

Minus 7yrs primary education = 0yrs of age

Minus 2yrs nursery school = -2yrs of age

Minus 3yrs ya kugrow at hom kabla ya nursery xcul = -5 yrs of age

So ur friend jus conjured a new miracle,, alianza kusoma 5yrs kabla hajazaliwa

Huyo ni Miss Tz wetuuu...
Bado tu wanamwandama miss tz
..SOURCE_jamiiforum
Posted by kifesi |
Posted by kifesi |
Akiongea na mtandao wa Sammisago,Mwimbaji bwana mdogo
 ambae ana mahusiano na Shilole,Nuh Mziwanda amesema anawapenda sana watoto wawili wa mpenz wake huyo
akaongeza kuwa
"Watoto wananiita Uncle, wakiwepo nyumbani kuna kazi hata
 sifanyi, wananiwekea maji ya moto, asubuhi huniwekea chakula
 mapema na Joyce ambaye ni mkubwa ananielewa na hunisaidia kila kitu"
tazama video ya interview hapa chini.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEibcIJAMBJoEnTSiGN7WvCu5O3USWW7Wc4C_aYUQBOooJ2VU1kpiSUtkHBDgBEpLH7SQDjqI3duGzsA9_9rfmrexI-GtqF_DsrQ7a-RPpB8nnqTYe_xvlxXosH_g81OWPdbyr0x_sTWh18u/s1600/mz1.jpg