.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Kupitia Ukurasa wake wa INSTAGRAM..Mtangazaji wa Clouds FM, DIVA atoa ushauri huu kwa wasanii wa hapa TZ....Nanukuu.. "Goodmorning Tanzania. So kuna Mtu aliniuliza kwanini Nigeria wanakuwa wameishika Africa na kuwa nominated kwenye Tuzo nyingi Africa na duniani kwa ujumla. Kwanza ifahamike Nigeria kuna watu zaidi ya Mil170 na Tanzania ni kama watu Mil44 hivi kwa harakaharaka na hatutaweza hata robo kushindana nao sababu hawa jamaa kwanza wanashinda katika internet. Watumiaji wa Internet Tanzania ni asilimia haizidi 4 au 5. Hatufiki watu mil1 na nusu na wengi wanaotumia wako nje ya Tanzania na Miji Mikubwa sana. Ndio maana kama una biashara yako ya maana Tangaza radioni sababu watu mil44 wote karibia wana Access ya radio. Mtu yoyote afanyaye kazi kwenye media ni Maarufu zaidi ya hawa wa instagram facebook au twitter au bloggerz au wanaomiliki blogs. Sababu hao watu mil44 ni lazima watamfahamu tu. Pili uki shoot video na Jamaa wa Nigeria wanaichukua na kukutambulisha duniani wenyewe kupitia ile pesa yako na sio kuwa wewe ndio eti unasumbuka hapana. Na sio kuwa ukichaguliwa BET au sijui wapu ni Nguvu zako hapana ni hao Jamaa wanafanya hayo yote. Nawashauri Wasanii wenye uwezo wa kufanya video na watu wa Nigeria wafanye hivyo na Matunda yao watayaona. They gon make you famous Hutaamini. Wanasambaza kazi zako wenyewe kupitia Pesa yako uliolipa wakati una shoot video. Adam Juma did it Mwanzo pia...so Nashauri wa Tanzania tuwekeza katika video Nje za Nchi kama unataka Kutangaza nchi na kuchaguliwa kwenye awards kubwa duniani. Nigeria pia Elimu inachangia. Hawa watu wanaongoza kwa mengi duniani ikiwemo wizi wa ki electroniki pia. So ndio maana wanashinda ma tuzo ma nini....akili nyingi....degree na masterz kibao huko. Wasanii Tanzania pia ongezeni Elimu zenu itawasaidia zaidi </div>
Posted by kifesi |

Pasipo shaka na wewe ulishawai sikia ama kusoma sehem kuwa ,mama yake diamond hampend ama hapatani na wema,sasa mmoja ya wahusika(wema)amefunguka,akiongea na millardayo..Wema anasema ‘Watu wanasikia vitu vingi hata kwenye Magazeti watu wanaandika vitu vingi hususani Waandishi huwa wanatengeneza ili tu kupata habari lakini hatuwezi kusema kila kitu kinachotuhusu sisi kila mtu anajua….. hapana, mbona mimi na mama tunapatana tuuuu’ ‘Mbona mami ake wangu mieeeee…. mwenyewe ananiitaga chizi langu, kwa hiyo tuko okey sana, nadhani watu wanamawazo hayo kwa sababu Mama ni mama yake Naseeb na mwisho wa siku Naseeb anakua sometimes hivi sometimes vile yeye kama mama lazima asimame nyuma ya mtoto wake ila mama yuko okey, mama ni mchizi wetu.. kamanda wetu mwenyewe’
Posted by kifesi |
Jeshi la Polisi linawahoji watu nane wakiwemo Madaktari wa chuo cha kitabibu cha IMTU kwa madai ya kutupa mabaki ya masalia ya binadamu katika msitu mdogo uliopo eneo la Mpiji kata ya Mbweni wilayani Kinondoni Dar es salaam.
Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova alisema kulipatikana mifuko 85 iliyobeba mabaki ya masalia hayo ya binadamu.
‘Imeonekana mara ya mwisho viungo hivyo vilikua katika chuo cha Udaktari cha IMTU kinachofundisha kwa vitendo pia, sasa tunachunguza na wamekubali kuhojiwa, maswali yanayofata ni kwanini viungo hivyo vilikua pale kwa wingi kiasi hicho? kwa nini vilikwenda kutupwa? ‘ – Kova
Screen Shot 2014-07-24 at 3.44.25 AMKwenye hii ishu pia hospitali ya taifa Muhimbili inachunguzwa ambapo mkuu wa kitengo cha uhusiano kwenye hospitali hii ya taifa Aminiel Aligaesha amesema >> ‘Sisi ni miongoni mwa wanaochunguzwa kwa sababu ni hospitali mojawapo katika jiji la Dar, mabaki yale hayakutoka hospitali ya taifa Muhimbili’
‘Kuharibika kwa tanuru letu la kuchoma taka za kitabibu kama hizo hakuna uhusiano na mabaki ya binadamu yaliyookotwa Tegeta, ni kweli tanuru liliharibika February 2014 na mwezi April tukapata spea lakini tatizo jingine likatokea na kipuri kingine kikaagizwa na mpaka sasa mafundi wanaendelea kuitengeneza’ – Aminiel.
CRDT-MILLARDAYO