.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |





Posted by kifesi |
 Story ilianza juzi mwanadada Zari alipopost picha wakiwa kwenye ndege yeye na Diamond,sasa leo zimepatikana picha zingine wote wakiwakwenye pose tofauti tofaut kama wapendanao wa siku nyingi,haijafahamika ni nini kinaendelea maana hakuna kati yao aliyesema chochote.,pengine wako location,ama ni video maana wote ni wazamziki.Time will tell,Zari anaaminika kuwa ndie msanii wa kike tajiri zaidi Africa mashariki,ni mfanyabiashara na mwanamziki.