.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |

Kufuatia kile kinachoendelea mitandaoni kati ya mwanadada Ray C na TID mnyama...Ray C leo kupitia mtando wa INSTAGRAM ameamua kumjibu TID baada ya TID kumjibu Ray C kwa matusi mazito:


Posted by kifesi |

Rihanna haendeshwi na matukio na wala hatabiriki katika mitindo ya mavazi anayochagua. Uamuzi wake mara nyingi huzua maswali na changamoto kwa wengi.

Mwimbaji huyo wa kike ameonekana mtaani akiwa anapiga misele na vazi la kulalia aka Night Dress na anaonekana akiwa anajiamini kama mtu aliyevaa suti au nguo nyingine inayompasa kuzurura nayo katikati ya jiji.

Posted by kifesi |

Ni kitu ambacho hakuna mtu ambaye aliwahi kuhisi au kutegemea kama Marehemu Adam Kuambiana ambaye alikua muongozaji[Director] wa filamu nyingi za Kitanzania kumbe nae kashiriki kwenye video ya Mdogo Mdogo.
Adam Kuambiana ambaye alifariki May 17 2014 wakati akiwa kambini kwa ajili ya filamu yake mpya ametajwa na Diamond kuhusika na utengenezaji wa Script[muongozo] wa video ya Mdogo Mdogo iliyotengenezwa South Africa na God Father.
diamond31Diamond ameongea na XXL na kusema>>’Script wakati inaanza nilikua kama natamani nifanye kitu fulani lakini nilikua sijui naanzaje sasa nakumbuka kipindi hicho Adam Kuambiana walikuwa wana shoot na kuongoza movie ya wakina baby[Wema] mimi nilipokua naenda kambini nakutana naye’
‘Baby alinambia ni mzuri sana nikamfata nikamwambia nina nyimbo yangu nataka uniandikie stori wimbo wangu unaenda hivi na hivi akanambia ni vizuri nikifika studio niisikilize kwanza huo wimbo’
‘Nikawa nae studio nakumbuka nilikuwa nae studio kwa Tudd Thomas pale THT akawa anasikiliza wimbo akawa ananambia namna stori inavyotakiwa kwenda so naweza kusema stori inavyoanza picha hata ya kupata Stori ni Kuambiana ndiye aliyenipa.