.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |

MWANAMITINDO maarufu
 nchini, Hamisa Mabeto
 ametishia maslahi ya wasanii wa 
kike wa Bongo Movie 
baada ya kujitosa rasmi kwenye tasnia hiyo na
 kung’ara katika Filamu ya
 VIP akiwa na mastaa, Vincent Kigosi ‘Ray’ na
 Jacqueline Wolper. “Wasanii w

ajiangalie nafasi zao baada
 ya Mabeto kuingia kwenye filamu maana ndani ya
 VIP amekamua sana na wasipokuwa makini atawasumbua
 kutokana na mvuto ulionao,” alisema Ray. 
 Mabeto ametamba kwenye ulimbwende tangu mwaka 2010 
alipoibuka mshindi wa shindano XXL Back to School
 Bash. Mwaka 2011 alishika nafasi ya 
pili katika shindano kumsaka Miss Dar Indian Ocean
 na baadaye Miss Kinondoni. 
 Mwaka 2011 alishiriki 
Miss Tanzania na kufika hatua ya nusu fainali ya michuano 
hiyo. Mwaka 2012 akafika hatua ya kumi bora kwenye Miss University.

0 comments:

Post a Comment