.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |

Nani aliyekuwa anafahamu kuwa Diamond Platnumz
 ni baba? Well, hatujawahi
 kumsikia popote
 akisema kuwa ana mtoto lakini staa huyo wa ‘My Number One’
 alikuwa mkarimu wa kutosha kuweza kuelezea
 ‘furaha ya kuwa mzazi’ kwenye
 mahojiano aliyofanya na
 mtandao maarufu wa

 Nigeria uitwao Lobatan Africa baada ya kwenda
 huko wiki kadhaa zilizopita alikoshirikishwa pia na
 mastaa wa huko wakiwemo Waje na Dr Sid.  Kwenye 
mahojiano hayo, mtandao huo ulimuuliza:
\ What have you learnt about fatherhood, now
 that you’re a father (umejifunza nini kuhusu ubaba
 kwakuwa sasa wewe ni baba) Diamond alijibu: Fatherhood
 is a great experience, very humbling. 
You learn a lot about your children and the kids and 
the kinds of things they love. For example, my baby loves this
 cartoon that has a catchy song, I think Ben10. Hahaha!!
 (Kuwa baba ni kitu kikubwa, kinavutia sana. Unajifunza
 mengi kuhusu watoto wako na vitu wanavyopenda. Kwa mfano
 ‘mwanangu’ anapenda katuni hii yenye wimbo 
unaogusa, nadhani Ben 10! Kumbe
 Diamond ana mtoto
 tena mkubwa anayeweza kuangalia na kuelewa katuni? 
Swali ni kwanini hajawahi 
kusikika akisema ana mtoto? Hata hivyo
 September mwaka jana, moja ya magazeti ya
 udaku ya kampuni ya Global Publisher,
 yaliandika habari ya kuibuka kwa msichana aitwaye 
Sasha Juma aliyedai kuwa amezaa na Diamond.

0 comments:

Post a Comment