.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
                                        Ulijskiaje ulipofanya kitu na kikawa na mafanikio 
makubwa kuliko ulivyotategemea?ama kufanya kitu na 
kikafanya watu wengine wakifurahie ama kukipenda,ama
 kufanya kitu na kikafanya mabadiliko kwa wengine?
kwa wengi ni lazima ufurahi na hata machozi ya furaha
 yakutoke,ndicho kilichotokea kwa hit maker wa ,wimbo unaopendwa
 zaid dunian HAPPY.. Pharrel William ambae akiwa kwenye mahojiano na 
mwanamama Oprah,alionyesha video yenye
 matukio ya jinsi watu,wakiufurahia na
 kuupenda wimbo wa HAPPY,hakuweza 
kujizui na kulia machozi ya furaha.Tazama
     


0 comments:

Post a Comment