.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Wasanii 50 wa muziki a Bongo Fleva, Hiphop, Injili, Dance na 
Taarab wamekuja pamoja na kufanya wimbo wa Kuhamasisha
 Muungano unaotoka April 26 2014. Sababu ya kufanya

 wimbo huu ni kuhamasisha Amani na muungano wa
 Tanganyika Na Zanzibar. Hii ni mara ya kwanza sauti za 
wasanii 50 zinasikika kwenye wimbo wa dakika 3.

0 comments:

Post a Comment