.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |

Wimbo mpya "Prokoto" wa Mwanadada
 kutoka Area 254 Kenya Victoria Kimani utaanza kusikika

 ifikapo tarehe 14 Mwezi huu. Kwenye wimbo huo 
Victoria amewashirikisha wakali wa Bongo 
Fleva pande za 255 Tz akiwemo Diamond Platinumz
 pamoja na Ommy Dimpoz. So kama wewe ni shabiki
 wa Wasanii hawa tegemea ladha hizo tatu kwenye ngoma moja
. Na utaweza ku download hapa hapa kwenye Site yako ya burudani.

0 comments:

Post a Comment