.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
DSC02051
Hizi ni taarifa zingine za ghafla ambazo Tanzania
 tumezipokea kwa mshtuko na masikitiko ni kifo
 cha miongoni mwa-madirector wa Tanzania ambao
 ni waigizaji pia,huyu ni Adam Kuambiana ambaye taarifa 
za kifo chake zimeanza kusambaa mchana wa 
Mei 17.Mwenyekiti wa Bongo Movie

 Steve Nyerere amesema>>’Mwenzetu Adam Philipo 
Kuambiana amefariki akiwa Location ana shoot
,mimi nimepigiwa simu saa 3 asubuhi kuwa hospitali pale
 Mwenge niende nikahakikishe kuwa ni kweli Adam 
amefariki na kweli kufika pale nikamkuta Adam
 Kuambiana amefariki’ ‘Sasa hivi tumetoka Muhumbili
 kwenda kumsitiri mwenzetu,taarifa inasema
 wakati yupo location alikua analalamika tumbo linamuuma
 linamuuma kumfikisha hospitali ndipo umauti ukamfika’
. Kwa mujibu wa Steve Nyerere amesema kuwa marehemu
 Adam kuambiana alikua ana shoot filamu yak
e mpya ambayo ndani yake amewashirikisha 
wasanii kadhaa wa Bongo fleva akiwemo Q Chillah

0 comments:

Post a Comment