.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |


Mwanamziki anaehusudiwa zaidi na kinadada..Trey Songz ameripotiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwimbaji wa RnB ambaye pia ni rapper wa kike, Mila J.
E!News imethibisha kuwa wanamuziki hao ni wapenzi na wamekuwa wakionekana pamoja kwenye hafla mbalimbali.
Trey Songz na Mila J walionekana katika shughuli ya Ne-Yo Ijumaa iliyopita na mashuhuda walieleza kuwa waliwaona wakiwa katika poz za mahaba na mara nyingine walikuwa waki-kiss.
Trey Songz alichochea tetesi hizo kwa kupost picha kwenye Instagram akiwa na Mila J na kuandika ‘She so fine’.

0 comments:

Post a Comment