.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQkJRPQcwPfjGXzveg1H7G_W7fERPRM3Cw8rnqG5Ya2ISaPSGqWkB2G6qqlTIB66IZ6T6VTvK9ZhQmVpH8mnM2FPni6hbTCPV9tP6Vn9HeqLb2v57CwYd2aZHq66KsnLH5SCfNCerk67nc/s1600/mama+kim3.jpg
Kris Janner Ambae Ni Mama Wa Mwanamitindo Kim Kardashian Kaweka Mambo Hadharani Japo Mwanzoni Kulikuwa Na Uvumi ulioenea Kuwa Ana Mahusiano Na Corey Gamble.
Lakini Kwa Sasa Kila Kitu Kipo Wazi Kutokana Na Picha Na Sehemu Wanazotembelea Wakiwa Wawili Na Kukaa Kimahaba Zaidi.
Kris Alipoulizwa Kuhusu Mahusiano Yake Na Corey Alisema Ni Mwanaume Mzuri Mwenye Mapenzi Na Kila Mtu, Ana Mjali Mtu Yeyote , Sio Mnywaji Na Sio Mtu Wa Kupenda Starehe ,

1 comment:

  1. Hongera Mama umepata dogodogo wa kumlea mlee vizuri dogo huyo akupe raha zote

    ReplyDelete