.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Kutokana na mvua zinazonyesha hivi sasa kwenye jiji la
 Dar es salaam pamoja na kusababisha mambo mengi
 kusimama, miundombinu kuharibika hasa madaraja yanayounganisha
 njia kuu, pia zimesababisha vifo vya watu 10. 
Nyumba nyingi zimeingia maji hasa maeneo ya mabondeni na kulazimisha familia 
kuhama kutoka kwenye makazi 
yao ambapo mpaka sasa Polisi Dar es salaam inasema 
 watu kumi waliofariki, wamo watoto watano na watu wazima watano.
 Kamanda Suleiman Kova wa kanda maalum ya Dar es salaam
 amesisitiza hali sio nzuri hivyo

 wananchi wanatakiwa wachuke tahadhari kwenye makazi yao na hata
 wanaotembea na magari barabarani kwa sababu 
njia nyingi zina mashimo na pia watu wapunguze mizunguko isiyo
 lazima barabarani. Hizi ni baadhi ya picha kati ya 
nyingi zinazosambaa kwenye mtandao.

0 comments:

Post a Comment