.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Orodha ya wasanii watakaoshiriki kwenye
 Kili Music Tour 2014 imetangazwa leo. Baadhi ya 
wasanii watakaokuwepo kwenye ziara hiyo 
wakiwe kwenye picha ya pamoja Mwaka huu 
zaidi ya wasanii 30 watashiriki katika
 ziara hiyo kwenye

 mikoa zaidi ya 10 nchini na itakayoanza ambao Mei
 hadi Septemba 2014. Wasanii hao
 ni pamoja na Diamond, Ommy Dimpoz, Linex, 
Proffesor Jay, Izzo Biznes, Kala Jeremiah, 
Fid Q, Snura, Weusi, 
Ben Pol, Mzee Yusuph, Shilole na Mwasiti. Wengine ni
 Nay wa Mitego, Mwana FA,
 Khadija Kopa, Juma Nature, Warriors From the
 East, Madee, Young Killer, Jambo Squad, AY, Vanessa
 Mdee, Mashujaa Band, Rich Mavoko na Christian Bella
. Hata hivyo Lady Jaydee 
aliyekuwepo kwenye ziara hiyo mwaka jana, 
ameondolewa mwaka huu kwa kile chanzo kimoja
 kimesema ni kutokana na tweet ya dharau aliyoiandika
 Lady Jaydee kuhusu kutokufahamu kama tuzo hizo
 zilifanyika. Chanzo hicho kimesema pia kuwa Roma
 alikuwa awepo kwenye ziara hiyo lakini ‘ujuaje 
wake umemfanya apigwe chini’.

0 comments:

Post a Comment