.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Napenda nimshukuru Mungu kwa kila hatua ninayopiga 
kwani ,naamini yeye ndiye anaenipigania na kunisogeza

 kwa kila hatua ninayosogea,week iliyopita mimi na kampuni yangu ya
 KWETU FASHION,nilipata bahati ya kualikwa kufanya
 maonyesho kwenye maonyesho makubwa ya Tamaduni 
za balozi ama PASSPORT DC,ambayo huadhimishwa kila
 mwaka nyakati za majira ya spring.
kwa mara nyingine tena namshukuru Mungu kwani
 maonyesho yetu yalifana na tulifanya vizuri,zifuatazo ni
 baadhi ya picha za matukio yalivyokuwa


 Nikipata maelekezo kutoka kwa Sameh Alfonse 
(Duputy  Chief Representative of The Arab League) 
siku ya Jumamosi May 3, 2014 nilipofanya
 maonesho ya mitindo ya vivazi toka
 kampuni yangu ya KWETU Fashions











































3 comments: