.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Diamond Platnumz atazidi kuwa si msanii tu
 wa kawaida bali ni moja kati ya wasanii
 wengi wa kimataifa

.Mtonyo mpya anaochota Diamond katika 
show umetokea kuwapa shida waandaaji wa show, 
Imeripotiwa wandaaji wengi wa nchi za nje wa matamasha, 
wadai kuwa, ingawa Davido ni msanii mkubwa sana
 kulingana na Diamond, ila mahitaji ya 
Diamond hadi kumpandisha kupiga show moja ni ya kutisha
 unaweza sema ni kama unamleta Jay-z.
  Unaambiwa Davido yeye huwa 
unamwachia anachiwA
10326618_492301214231113_1344209867_n
hotel aliyolala yeye na crew yake,Mtwara
 mtonyo wa shilingi 85 tu,ila kaa utulie usikilize
 mahitaji haya ya Diamond: Kwanza bila kumtonyesha
 kuanzia milioni 45 kwenda juu, utaishia 
kuongea naye kwenye simu tu, bila hata ya kuona sura yake,
AKIWA KWENYE PRIVATE JET  NA CREW
 YAKE KUELEKEA MWANZA
 achana na hiyo basi kwanza kama umeshatenga hilo fungu na
 kufanikisha kumuita kupiga ku-sign contract yake, inabidi
 umsafirishe kwa private jet au first class plane, akishatua
 uwe umeshandaa presidential suit katika hoteli yeyote yenye 
hadhi ya nyota tano, kama ni Bongo ni Serena hotel pale
 kiroho safi, wakati huohuo uwe umashatenga vyumba 
maalumu vikubwa kwa ajili ya Dancers wake ,camera man,dj na mlinzi, 
 microphone ya pekee na vyakula atavyohitaji yeye, 
viwe teyari umeshaweka order vitengenezwe, kama 
anavyotaka yeye. Kama ulikuwa
 unamchukulia Dangote easy, jipange!.

0 comments:

Post a Comment