.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Mtandao unaodeal na habari za mastaa TMZ umeripoti kuwa ,
Chriss brown kapewa adhabu nyingine na mahakamaya  
 kufanya kazi za kijamii kwa masaa nane kila siku, na kwa
 mujibu wa ratiba aliyopewa na mahakama anatakiwa afanye kazi hizo kwa
 siku 4 kila wiki, ikimaanisha ni siku 1 tu ndani ya wiki kuanzia Jumatatu 
mpaka Ijumaa ambazo ‘atadeal’ na mambo yake mengine. 
wa daktari wake huenda usimuokoe Chris kwenye ‘
adhabu hiyo kutokana na matukio kadha aliyoyafanya 
akiwa chini ya uangalizi wa mahakama juu ya mwenendo wake baada ya kukabiliwa na kesi ya 
kumtwanga makonde mpenzi wake wa zamani, Rihanna.
Chris Brown

0 comments:

Post a Comment