.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
T.I
mkali kutoka Marekani Rapper T.I  aliyeangusha show 
ya nguvu katika jukwaa la Fiesta 2014 siku ya Jumamosi 
Oktoba 18 2014 katika viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam,
 ameseam kwake sho ya fiesta ndio concert kubwa kuwahi kufanya mbele ya watu zaidi ya elfu 50
Katika mahojiano aliyofanya New York Marekani na 
kituo maarufu cha redio Power 105.1 kwenye show ya Breakfast
 Club, T.I amesema tangu aanze kufanya muziki hajawahi kufanya show kwenye jukwaa 
lolote mbele ya mashabiki zaidi ya 50,000.
T.I amelinganisha idadi hiyo kubwa aliyokutana nayo 
Tanzania kuwa ni sawa na kufanya show katika
 uwanja wa mpira wa miguu na kuujaza kwa show
 moja, kitu ambacho anakiona kabisa sio rahisi 
na ndio maana hii ya Leaders imekua kubwa kwake.angalia video ya mahojiano hayo ambapo kazungumzia pia ishu ya ebola

0 comments:

Post a Comment