.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Wale mliozoe kusema " sijaona message yako au "basi itakuwa sijaisoma"  kwasababu hakukua na chochote kinachomuonyesha mtumaji umesoma basi mmekomeshwa na "Whatsapp" safari hii.


Sasa hivi kila ujumbe utakaopokelewa na kusomwa kupitia whatsapp utaonyesha alama ya tiki mbili za blue ikimaanisha ujumbe umefika na umeshasomwa, ukilinganisha na zamani, ujumbe  ulikuwa ukitumwa kama haijafika unaonyesha tiki moja, ukifika unaonyesha tiki mbili lakini haionyeshi kama ujumbe umesomwa au la.

Kama aimu yako inaji upodate mar akwa mara utakuwa ushaona mabadiliko haya na kama bado fanya ku update whatsapp yako sasa.
  

0 comments:

Post a Comment