.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Screen Shot 2014-03-31 at 11.12.25 AM
Michael jackson ni msanii ambae ametutoka
 muda sasa lakini habari zake bado zipo kwenye NEWS
 za mashirika mbali mbali ya kimataifa. Michael jackson 
ambae inadaiwa alifariki muda mrefu sana ulipita baada ya

 POLICE na wana Sayansi kugundua mifupa ya binadamu katika
 nyumba yake “Never Land” na vile vile kama tunakumbuka
 Daktari aliekua akimtibu alishukiwa kuwa alisababish
a kifo chake kwa njia moja au nyingine, Documentaries ambazo zimetoka na
 kuelezea maisha ya shida na matatizo ambayo Michael Jackson
 alipitia katika uhai wake. Miaka 5 iliyopita baada
 ya kifo chake, Recording Label iliyokua ikimsimamia
 kazi za msanii huyo imetangaza tarehe ya kutoa 
album mpya ya King Of POP MICHAEL JACKSON,
 Album hiyo ambayo imesheni nyimbo
 zisizopungua 8 ambayo inajulikana kwa jina “XSCAPE”
. Album hiyo itaachiwa mnamo tarehe 13 ya mwezi 
MEI mwaka huu, ambapo kwa tamko
 la CEO wa Epic L.A. wasimamiaji wa kazi za msanii huyo
 alisema kuwa wamechagua nyimbo nane zilizokua hazijawahi kusikikika popote pale duniani na ndio zitatengeza album hiyo ambayo inasadikika kuwa itakuwa ya hatari sana.

0 comments:

Post a Comment