.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
STAA wa filamu za Kibongo,Wema Sepetu ameibuka kidedea 
kwenye shindano la Ijumaa Sexiest Girl kwa kura 370 
huku mshindi wa pili Elizabeth
 Michael'Lulu' akipata kura 340 akifuatiwa na
 Nelly Kamwelu. Shindano hilo lilifanyika katika

 viwanja Dar Live ,Mbagala usiku wa kuamkia
 leo na limeandaliwa na Global Publishers huku
 burudani ikisindizwa kutoka kwa 
Weusi(Nikki wa Pili,Joh Makini,G Nako) na Mkubwa na Wanae.

0 comments:

Post a Comment